Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Kaka mbona umekazania kwenye tafsiri? Unataka kuuaminisha umma kuwa Rais ndio Sizonje?
U.ji.nga ni mtu kujiwezea kuufanya usinilishe maneno vijana wa siku hizi viroba na shisha za kuiga zimewavuruga akili mtaita majina yoote mnayojisikia kuyaita lakini ukweli unasimama asiyefanya kazi na asile na ole wenu na hayo majina ya kebahi msije jutia baadae.
 
~~~~~>>>>Uchumi wa Tanzania ulijengwa ktk Misingi ya Ufisadi na Ujanja Ujanja....

~~~~>>>>Awamu ya Tano wameziba mianya ya Wizi ghafla..... Lazima mtikisiko utokee kidogo....

~~~~~>>>> Le Châtelier's principle...... If the system is in Equilbrium and the changes occurs, the sytem will do what it can to oppose the Changes...

Kwahiyo haya matusi na vijembe ni ktk kukabiliana na mabadiliko.......
 

Hongera sana kwa mashairi yaliyojaa ukweli, ingawa muanzilishi wa hili jina "sizonje" nae ametekwa na Sizonje na kuamua kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Muasisi wa "Sizonje" amesahau kwamba ni yeye aliyejijengea heshma kwa kutaka kwenda kumuona "mjomba" ili amueleze matatizo ya wachezaji na washangiliaji wa timu, lakini leo anaogopa kumueleza "Sizonje" kwani sizonje hataki "kujaribiwa." Tafadhali, naomba mashairi yako ili niingie nayo studio...
 
Haha shukrani mkuu.
 
Unamtishia nani wewe? We ungekuwa unafanya kazi, usingekuwa maskini kama ulivyo sasa!!
moja ya dalili ya umaskini kwa mtanzania wa sasa ni kuufurahia mfumo anaoutumia Sizonje kuichezesha timu.
 
hshhaaaaaaaaaa hlf ndani kuna giza mlango hauonekani.duuuu
Wote mnaomchukia "Sizonje" ni majipu na wapiga "dili". Kama mnaendesha maisha yenu ya halali kabisa hamwezi kumchukia Sizonje.
Sizonje kaka usiogope kelele za hawa wezi na majambazi, sisi tupo pamoja na wewe, endelea hivyo, hivyo kuwabana mpaka wakome ubishi. Tuko pamoja Sizonje.
 
Sizonje hali inazidi kuwa tete. Timu imeelemewa bado unakomalia kazi liyokushinda? Hebu achia ngazi ili timu isishuke daraja!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…