Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Hivi wale "Forbes" waliotushindanisha na "peoples of Rwanda" hawawezi kutuletea mpambano kati ya Sizonje na Lusungo wa jf?Maana bandiko hili kama sizonje akilisoma kwa unyenyekevu linaweza kumsaidia na kumpatia fursa ya kujisahihisha.
 
mkuu naona kuna kitu unatafuta... kuna mtu kamtaja magufuli hapa? samahani lakini
 
Ndio maana Sizonje anaomba leo kesho network zisiwepo....maana duh, akisoma humu....
 
SIZONJE sijui anapeleka wapi timu.....

Alafu mbona Sizonje amepewa majina mengi this time?.......

Mala Juma Ponda Mali ,Mala Nyampala,Tembo, Sasa nasikia anaitwa Trump ......

Kuna ukweli juu ya majina ya Shizonje?.......
Kwa Mara ya kwanza katika historia Tz mpaka aondoke atakuwa ana majina zaidi elfu ,
 
[emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…