Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Sizonje kashachanganyikiwa,yeye ni kuteua kutengua.kila aliemzunguka hamuamini,anaona yy ni mtakatifu sanaa

Sikubaliani na were kuwa kachanganyikiwa; mimi naona kuwa ana mipango yake mikubwa juu ya nchi hii, na anapopangua ni pale anapoona hao waliopo hawana kasi yake ya kuweza kutimiza malengo yake katika muda huu mfupi!! Ili kupata watu wanaoendana na kasi yake hana budi kufanya due diligence ya watu wengi ambao yeye peke yake hawezi kuwafahamu; kuna wasomi wengi wanaoweza kumsaidia lakini system iliyopo ya mkweree haiwapendi!!
 
Bado lawama umebeba sizonje ,ucheza Na hata ukocha tena bingwa wa kukali huna kumbukumbu pole sana .Ndio tabia yetu wabongo
 
Kwa hiyo Mkwere ana watu wake nda ya timu ya mzee wa hapa kazi tu,ambao ndiyo wanamkwamisha?
 
Sizonje hata kujifunza kwa wenzako hutaki....umeng'ng'ana na mechi za nyumbani tu....unaogopa mechi za kimataifa.....jaribu home & away.....ujipime uwezo wako....
 
Mikataba ya miaka 100 imefanya nini? Ww unafikiri huko pataguswa? punguza ukada wa chama mkuu,hii nchi bado ni ya ahadi, tulia hapo hapo ulipo usubiri.
 
Mikataba ya miaka 100 imefanya nini? Ww unafikiri huko pataguswa? punguza ukada wa chama mkuu,hii nchi bado ni ya ahadi, tulia hapo hapo ulipo usubiri.
Mimi sio ccm mdau na kamwe haitatokea ila penye ukweli lazima tuseme Rais nae ana moyo na sio wa chuma ni wa nyama haya mambo mdau hayahitaji papara inahitajika hekima busara na maarifa kuweza kuyatatua kwani wahusika bado wapo na wanamaslahi yao binafsi cha muhimu mimi na wewe kumpa moyo na kuikataa rushwa na kuwa wazalendo.
 
Sizonje hata kujifunza kwa wenzako hutaki....umeng'ng'ana na mechi za nyumbani tu....unaogopa mechi za kimataifa.....jaribu home & away.....ujipime uwezo wako....
Sizonje hashauriki!! Anajua kila kitu!!
 
Ndugu msikilizaji nilikosea kumbe ndo kwanza mpira upo katikati ya dimba tunasubiri kocha sizonje afanye mabadiliko mengine.
Anamtoa bodi ti ara ei halafu anamwingiza?...
 
Mkuu umezungumzia mikataba, ndicho hicho nilicho uliza,kwamba mikataba imefanya nini? unafikiri huko pataguswa? kumbuka Rais alisema atawalinda wale wazee wasiwe na wasiwasi wakae watulie,ww unafikiri Rais alikuwa anamaanisha nini? tuchangishane tu huku mtaani na si habari ya mikataba ya madini,hayo makaburi yanatisha matambiko iliyofanyiwa hapo si ya pole pole ,mtu anafunga mkataba wa miaka 100 na muwekezaji kuna nini hapo? ni hatari sana mkuu ukisogea tu lile eneo la makaburi unazimia, think big man.
 
Ni wapuuzi sana hawa, hii nchi imejaa wanafiki sana, angalia majina ya kinafiki anayopewa raisi, nyie ndio mtasababisha hii forum ifungiwe, endeleeni kumchafua chafua, mwenzenu kafungwa kisa ameota, kufungiwa hii ni issue ndogo sana
Raisi yupi unayemzunguzia mkuu maana wapo wengi. Raisi wa wasafi, rais wa tff, rais wa wagumu family, rais wa Real madrid, rais Syria nk nk. Sasa sijui wewe unamlenga yup maans wewe ndio umeibuka na hilo jina
 
Raisi yupi unayemzunguzia mkuu maana wapo wengi. Raisi wa wasafi, rais wa tff, rais wa wagumu family, rais wa Real madrid, rais Syria nk nk. Sasa sijui wewe unamlenga yup maans wewe ndio umeibuka na hilo jina
Hao sijui wanatokea wapi wenzao tunamjadili kocha wetu Sizonje wao wanaleta siasa!!
 
Mmmmmh!!
 
Sasa hiyo Sizonje atamaliza msimu wa ligi kuu kweli au atatemw? Ligi ngumu msimu huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…