Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,240
kibanga ampiga mkoloni.1.tola anakula gizani
2.watoto wageuka mawe
3.ziwa jipe
4.sadiki na sikiri
5.gulio la katerero
kibanga ampiga mkoloni.1.tola anakula gizani
2.watoto wageuka mawe
3.ziwa jipe
4.sadiki na sikiri
5.gulio la katerero
kibanga ampiga mkoloni.
.Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja, nakutetemeka mwili,
Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli, iwafae maishani.
Akatamka mgonjwa, Ninaumwa kwelikweli,
Ata kama nikichinjwa, haitoki homa kali,
Roho naona yachinjwa, kifo kinanikabili,
Kama mnataka mali, .......................
Teh teh teh teh! Nimefurahisana mkuu......Kama tunataka Mali, tutapataje Shambani?..Baba aliyekufani, akajibu lile swali,Jambo moja lishikeni,kama mnataka Mali,Kwanza shirikianeni, nawapa hiyo kauli, Fanyeni kazi Shambani, mwisho mtapata Mali...............,Roho ikaacha mwili,Na Watoto kwa umoja , wakakumbuka kauli,Kama tunataka mali, tatayapata Shambani.
...ilifika mahali kila mkuu wa shule ndio ana uamuzi wa kuchagua vitabu vya wanafunzi wake!!!
Heri mimi sijasema
Kalagesye kwenye kitabu cha kiingereza.
Sizitaki mbichi hizi Sungura akanuia, naona nafanyakazi bila faida kuja,