Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
1.Chukua namba ya kiatu chako....mfano yangu ni 41.
2.Izidishe mara 5
3.jumlisha 50.
4.zidisha mara 20
5.jumlisha 1012
6.halafu toa mwaka ulipozaliwa
Jibu utakayopata namba za mwanzo ni namba ya kiatu chako na namba mbili
za mwisho ni umri wako.
Hii kanuni haiwezi kuleta jibu kwa walio na umri 100 na zaidi.
Then niambie kama nisahihi.
2.Izidishe mara 5
3.jumlisha 50.
4.zidisha mara 20
5.jumlisha 1012
6.halafu toa mwaka ulipozaliwa
Jibu utakayopata namba za mwanzo ni namba ya kiatu chako na namba mbili
za mwisho ni umri wako.
Hii kanuni haiwezi kuleta jibu kwa walio na umri 100 na zaidi.
Then niambie kama nisahihi.