Meritta
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 1,303
- 292
mwenzangu nani? mi nataka unifanyieteh teh teh igilizieni kwa wenzenu
mwenzangu nani? mi nataka unifanyieteh teh teh igilizieni kwa wenzenu
basi hao wanaosema siyo kweli wamekosea mahesabu
basi niambie unavaa size namba ngapi
basi ndo ulipokosea
inaweza kutumia hata mwaka unaokuja au mwaka jana....pale hatua ya mwisho unapojumlisha 1012 ukitaka kujumlisha unaweka 1011.
Mbona naona ka kupoteza muda tu, mtu unajua mwaka uliozaliwa unaangaika na hizo hesabu nyingine za nini sasa?. Wakati unatakiwa uchukue 2012- huo mwaka uliozaliwa.
6.halafu toa mwaka ulipozaliwa
haaa! Mbona mi napata 75,?!
Mbona mi napata jibu 5692 ina maana ninavaa namba 56 na sijazaliwa 92 huu ni ulongo!