bridalmask
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 2,195
- 1,169
If President Magufuli is really for Poor Tanzanians he sh'd DELETE/BAN UHURU torch and not this minners post action n decision which have no positive benefits for the time.
Kijana unaroho ngumu kwenye inshue ya mwenge we tu ndo unaonekana kutetea. Au nimmoja wapo wa wanaotakiwa kurudisha hela?Mwenge hauepukiki! Lazima uangaze amani katika Taifa letu!
Kamuulize baba enu Nyerere kaburini. Baada Ya Muungano Nyerere aliunda decree Tatu, moja wapo iliamuru kipengele kila kilichoandikwa Tanganyika kibadilishwe na kiandikwe Jamhuri Ya Muungano, ungesema mbele za watu ungechekwahuu ni mwenge wa uhuru wa tanganyika,ulipandishwa kilimanjaro mwaka 1961,sasa rais wa zanzibar atawaambia nini watanganyika?
nafikiri mkuu kawakacha wanamsakama kuhusu ajira
Hata hivo pale kuna matukio mawili kuzima mwenge na kumbukumbu ya kifo cha mwl nyerere, sasa kuna ubaya gani mh shein akifanya hayo? Au nyerere n wa tanganyika pekee?Wewe vipi?
Nani alikujulisha magufuli atakua mgeni rasmi?
Shein ni Rais wa Zanzibar,ni sahihi kuzima Mwenge ,hebu muacheni Magufuli
Na kumbukumbu ya kifo cha mwl nyerere siyo suala la linalohusu tanzania yote yaani tanganyika na zanzibar?Mwenge sio wa muungano,bora hata angeenda Pm majaliwa
Mi nachoona huu Mwenge ni li kitu lililoota mizizi miaka na miaka, sasa kuling'oa at once ni ngumu.If President Magufuli is really for Poor Tanzanians he sh'd DELETE/BAN UHURU torch and not this minners post action n decision which have no positive benefits for the time.
Mi naona miujiza tu labda ishu ya kuzima hiyo tochi inawahusu watu wa simiyu peke yao, hivyo mgeni rasmi angekua RC wa SimiyuKumbeeee. Huu ni udhalilishaji Mkubwa ndo mana wageni wameambiwa warudishe posho! Hii inaitwa bora tukose wote.
CHEKI ULIVYO NA MAWZO FINYU......kwa akili yako hivi mwenge ukiondolewa ndio tutaanza kulamba asali nchi nzima???????If Magufuli is really for Poor Tanzanians he sh'd DELETE/BAN UHURU torch and not this minners post action n decision which have no positive benefits for the time.
utakuwa unaishii nchii fulani kwenye vitabu vya hadithiii teh tehRais wa zanzibar ni makamo wa pili Ya serikali Ya muungano