Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Niliwahi kuwauliza kama tembo card inamakato kila mwezi wakakataa badae nikaambiwa na mtu eti kuna service ukitumia kwenye internet nikaacha kutumia hadi leo maana NIKATWE service ya internet, nikatwe kutoa pesa, nikatwe kuangalia salio, NIKATWE kupokea pesa kutoka mkoani au nje ya nchi lol ntasitisha huduma maana hela nyingi sana nawatafutia wao sio siweziHapa kuna kitu mnaficha au haukijui kama una card ya visa mastercad kuna hela mnakata sijui ya nini kama 6000 hivi
Nadhan watakua wana the best sim banking a everkwani hawa equity wanayo huduma ya sim banking?
Kwel kabisa...Simu banking itumie tu kuangalia salio. Usitoe hela huko utafilisika fasta. Labda kama umepata shida isiyowezekana kwenda kwenye ATM.
Bora MPesa aise....Mimi CRDB huwa naweka pesa nikitaka kununua vitu online tu ila eti niende nikaweke akiba pesa yenyewe kidogo bora Mpesa.kuna mwezi niliacha elfu 35 kwenye akaunti ya CRDB nikaenda kuchek baada ya kama miez 4 nikakuta salio lipo -9000 yaan wamekata pesa mpaka wananidai.
Laki 4 kiwango cha Juu ila hata hivyo bado ungetoa Mara 3,Hata NMB nilitoa laki 9 ikakataa nikatoa laki tano ikakataa ilibidi nitoe laki 3 mara 3 nikajiuliza kwanini kumbe wameweka kibiashara ili wapate ile service fee ya kutoa.
Simu banking itumie tu kuangalia salio. Usitoe hela huko utafilisika fasta. Labda kama umepata shida isiyowezekana kwenda kwenye ATM.
Du pamoja sanaNiliwahi kuwauliza kama tembo card inamakato kila mwezi wakakataa badae nikaambiwa na mtu eti kuna service ukitumia kwenye internet nikaacha kutumia hadi leo maana NIKATWE service ya internet, nikatwe kutoa pesa, nikatwe kuangalia salio, NIKATWE kupokea pesa kutoka mkoani au nje ya nchi lol ntasitisha huduma maana hela nyingi sana nawatafutia wao sio siwezi
hamna kuna kutoa ela kwa ATM na kuna kutoa ela kwa sibankng na kuna kutoa ela cash ndani ya bank hapo kila service ina makato yake wakati wa kutoa elaAhsante kwahiyo kumbe SimBanking kumbe ndo kutoa hela kwa njia ya ATM mashine mkuu
Inategemea unataka account ya aina gani na malengo ya yako ya kusave hela ni ya muda gani. Kwa ushauri wangu kama wewe ni mwanaume nenda pale crdb waambie wakufungulie account inayoitwa DHAHABU a/c hii unajiwekea malengo ya kusave bila kutoa angalo kiasi cha Tsh 50,000 kila mwezi, account hii haina makato ya mwezi, kama nakumbuka riba yake kwa mwezi ni 3.5% na kwa wanawake kuna MALKIA A/C its applies the same.Ntahitaji mnishauri benki ipi nzuri..kwa kufanya seving ya hela bila makato..nataka kufungua seving account
Nilikuwa natumia CRDB kipindi nipo chuo kupokelea boom na kufanya saving, walikuwa wanaikata makato makubwa bila huruma niliwafuata mara kadhaa majibu yao ni makato ya kawaida tu, nilipoachana na masuala ya boom ikawa mwanzo na mwisho kukanyaga CRDB.
Afadhali nitumie international bankers huduma yao ni ya kueleweka
Pole mpendwa kwa usumbufu uliopata, makato kwa mwenzi ni Tshs 1888 kwa akaunti inayoendeshwa kwa sarafu ya Tanzania mfano akaunti ya akiba, mwanafunzi.
Makato kwa njia ya simbanking kuangalia salio ni shs 354 na kutoa pesa kuanzia 0 -- 200,000 ni shs 2594 inapanda kulingana na kiasi unachotoa
kutoa pesa katika ATM gharama ni shs 944 kwa kila muamala utakaokua unaufanya na kutoa pesa kwa cashier dirishani ni 2594, mpka kwa kiwango kisichozidi mil 10