Siyaelewi makato ya benki ya CRDB

Esayi

JF-Expert Member
Dec 3, 2017
355
146
JAMAN WANA JF

Mimi nimejiunga na Bank ya CRDB ni mteja mgeni kabisa kwa maswala ya kibank.

Shida yangu ni hyo ya makato yao
Nimefungu Acount ile yenye ki card kimeandikwa TEMBO CARD.
sasa nikaweka 45000 kama kianzio kuweka pesa badala ya kibubu.

Leo nimeenda kutoa 10000 kwa mala ya kwanza ili nione kama makato yao yako vipi kama naweza kuyamudu

Nimeangalia salio kwa njia ya Simbanki naona kuna 33702
Maana yake wamenikata 1298
Swali langu kama nawe unatumia Acount kama yangu

Hili kato ni la mwezi mzima au mwisho wa mwezi wanakata tena

Alafu kila nikitaka kutoa pesa KWA ATM MASHINE WANAKATA TENA AU MPAKA MWEZI UUISHE

NAWASILISHA
MUNGU AWABARIKI NYOTE MTAKAO NIJUZA VYEMA
AMEN
 
Sim banking wana service charge zao ,,ukifika omba utaletewa fomu aise hayo makato sawa sawa na ya tgo pesa ama mpesa,, so unapovuta hela kwenda kwenye simu unakatwa then ukienda kwa wakala unakatwa
Du ahsante
 
Ahsante kwahiyo kumbe SimBanking kumbe ndo kutoa hela kwa njia ya ATM mashine mkuu
Pole mpendwa kwa usumbufu uliopata, makato kwa mwenzi ni Tshs 1888 kwa akaunti inayoendeshwa kwa sarafu ya Tanzania mfano akaunti ya akiba, mwanafunzi.


Makato kwa njia ya simbanking kuangalia salio ni shs 354 na kutoa pesa kuanzia 0 -- 200,000 ni shs 2594 inapanda kulingana na kiasi unachotoa

kutoa pesa katika ATM gharama ni shs 944 kwa kila muamala utakaokua unaufanya na kutoa pesa kwa cashier dirishani ni 2594, mpka kwa kiwango kisichozidi mil 10
 
JAMAN WANA JF

Mimi nimejiunga na Bank ya CRDB ni mteja mgeni kabisa kwa maswala ya kibank.

Shida yangu ni hyo ya makato yao
Nimefungu Acount ile yenye ki card kimeandikwa TEMBO CARD.
sasa nikaweka 45000 kama kianzio kuweka pesa badala ya kibubu.

Leo nimeenda kutoa 10000 kwa mala ya kwanza ili nione kama makato yao yako vipi kama naweza kuyamudu

Nimeangalia salio kwa njia ya Simbanki naona kuna 33702
Maana yake wamenikata 1298
Swali langu kama nawe unatumia Acount kama yangu

Hili kato ni la mwezi mzima au mwisho wa mwezi wanakata tena

Alafu kila nikitaka kutoa pesa KWA ATM MASHINE WANAKATA TENA AU MPAKA MWEZI UUISHE

NAWASILISHA
MUNGU AWABARIKI NYOTE MTAKAO NIJUZA VYEMA
AMEN
Kila mwisho wa mwezi crdb wanakata fedha kutoka kwenye akaunti yako,ukidraw kwenye ATM wanakata,ukiangalia kwenye sim banking wanakata,weka fedha nyumbani we,viela vidogo hivyo, utaumizwa benki watakuumiza ukiweka milioni 100,unaitwa kujieleza umezitoa wapi karaha yote ta nini? ,weka nyumbani
 
Pole mpendwa kwa usumbufu uliopata, makato kwa mwenzi ni Tshs 1888 kwa akaunti inayoendeshwa kwa sarafu ya Tanzania mfano akaunti ya akiba, mwanafunzi.


Makato kwa njia ya simbanking kuangalia salio ni shs 354 na kutoa pesa kuanzia 0 -- 200,000 ni shs 2594 inapanda kulingana na kiasi unachotoa

kutoa pesa katika ATM gharama ni shs 944 kwa kila muamala utakaokua unaufanya na kutoa pesa kwa cashier dirishani ni 2594, mpka kwa kiwango kisichozidi mil 10

Gharama kubwa sana aise
 
Pole mpendwa kwa usumbufu uliopata, makato kwa mwenzi ni Tshs 1888 kwa akaunti inayoendeshwa kwa sarafu ya Tanzania mfano akaunti ya akiba, mwanafunzi.


Makato kwa njia ya simbanking kuangalia salio ni shs 354 na kutoa pesa kuanzia 0 -- 200,000 ni shs 2594 inapanda kulingana na kiasi unachotoa

kutoa pesa katika ATM gharama ni shs 944 kwa kila muamala utakaokua unaufanya na kutoa pesa kwa cashier dirishani ni 2594, mpka kwa kiwango kisichozidi mil 10
Kuangalia salio kwa sim banking CRDB nao wanakata hela? Nilijua hela inakatwa na mitandao ya simu kama voda kutumia simbanking lazima uwe na salio, na benki wanakata kumbe
 
Mimi CRDB huwa naweka pesa nikitaka kununua vitu online tu ila eti niende nikaweke akiba pesa yenyewe kidogo bora Mpesa.kuna mwezi niliacha elfu 35 kwenye akaunti ya CRDB nikaenda kuchek baada ya kama miez 4 nikakuta salio lipo -9000 yaan wamekata pesa mpaka wananidai.
 
Pole mpendwa kwa usumbufu uliopata, makato kwa mwenzi ni Tshs 1888 kwa akaunti inayoendeshwa kwa sarafu ya Tanzania mfano akaunti ya akiba, mwanafunzi.


Makato kwa njia ya simbanking kuangalia salio ni shs 354 na kutoa pesa kuanzia 0 -- 200,000 ni shs 2594 inapanda kulingana na kiasi unachotoa

kutoa pesa katika ATM gharama ni shs 944 kwa kila muamala utakaokua unaufanya na kutoa pesa kwa cashier dirishani ni 2594, mpka kwa kiwango kisichozidi mil 10
Ahsante sana mkuu
 
Kila mwisho wa mwezi crdb wanakata fedha kutoka kwenye akaunti yako,ukidraw kwenye ATM wanakata,ukiangalia kwenye sim banking wanakata,weka fedha nyumbani we,viela vidogo hivyo, utaumizwa benki watakuumiza ukiweka milioni 100,unaitwa kujieleza umezitoa wapi karaha yote ta nini? ,weka nyumbani
Ahsante sana mkuy
 
Kuangalia salio kwa sim banking CRDB nao wanakata hela? Nilijua hela inakatwa na mitandao ya simu kama voda kutumia simbanking lazima uwe na salio, na benki wanakata kumbe
Ndo na mimi nimegundua hivyo
 
Pole mpendwa kwa usumbufu uliopata, makato kwa mwenzi ni Tshs 1888 kwa akaunti inayoendeshwa kwa sarafu ya Tanzania mfano akaunti ya akiba, mwanafunzi.


Makato kwa njia ya simbanking kuangalia salio ni shs 354 na kutoa pesa kuanzia 0 -- 200,000 ni shs 2594 inapanda kulingana na kiasi unachotoa

kutoa pesa katika ATM gharama ni shs 944 kwa kila muamala utakaokua unaufanya na kutoa pesa kwa cashier dirishani ni 2594, mpka kwa kiwango kisichozidi mil 10
Makato yenu madogo sio kama NMB
 
Crdb mimi hua wanakata bila kufahamu iyo pesa inaenda wapi, nimeamia equity bank angalau unaacha pesa miez mi3 au mi4 unakuta salio bado lipo vile vile.
 
Back
Top Bottom