Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Niliwahi kuwauliza kama tembo card inamakato kila mwezi wakakataa badae nikaambiwa na mtu eti kuna service ukitumia kwenye internet nikaacha kutumia hadi leo maana NIKATWE service ya internet, nikatwe kutoa pesa, nikatwe kuangalia salio, NIKATWE kupokea pesa kutoka mkoani au nje ya nchi lol ntasitisha huduma maana hela nyingi sana nawatafutia wao sio siweziHapa kuna kitu mnaficha au haukijui kama una card ya visa mastercad kuna hela mnakata sijui ya nini kama 6000 hivi