Kuweni na shukran nyie ndo mnasemaga uzi bila picha haunogiHuo ni unyanyapaa tu, ubaguzi usio na tija yoyote. Jamii ya watu wenye kujitambua humfanya sawa na watoto wa hapo. Hutoa huduma zote muhimu bila ubaguzi.
Vipi mkuu hiyo picha ina uhusiano gani na mada, au huyo ndio mnyanyapaliwa?
First year kapata boom kanunua smart foniEt wananzengo humu ndani hii tabia au utaratibu au mazoea ya baadhi ya wanajamii kuishi na watoto Wa ndugu zao ikiwa wazazi wao wamepoteza maisha halafu anapokuj mgen namna ya kumtambulsha unasikia anasema "huyu ndo mtot Wa marehem (k) " umemsahau mimi watoto Wang ni hawa""
Nin maana yake naomba msaadaView attachment 954754
Sio JF tu...huyo anaonekana ni mgeni kabisa kwenye internet pia anaonekana ni wa nyumbani.
Anyway tuwashukuru Wachina..kwa kutuletea TEKNO...mpaka watu wa nyumbani wanaingia JF



Hahaha duh nimechekaHuyo kwenye picha ni marehemu k au?