Siwezi kujizuia kuuliza

Siwezi kujizuia kuuliza

wala haina tatizo, japo haijazoeleka sababu jf ni mtandao uliojaa usiri, kwa hiyo ukiweka mambo hadharani unaonekana mgeni na mshamba.
Nakumbuka uliwahi kutuma picha ya BD yako na ukakiri nibyako, wala sio vibaya
Ni mimi ndio sijaelewa au?? shida ya mtoa mada ni kuweka picha au mada aliyoitoa?

Pia nauliza hua kuna shida gani mtu akiweka picha yake HALISI jamii forum??
 
wala haina tatizo, japo haijazoeleka sababu jf ni mtandao uliojaa usiri, kwa hiyo ukiweka mambo hadharani unaonekana mgeni na mshamba.
Nakumbuka uliwahi kutuma picha ya BD yako na ukakiri nibyako, wala sio vibaya
Sikujua kama jf ni mtandao wa siri aiseee,
yes niliweka picha yangu na hata avatar sasa hivi nimeweka picha yangu sababu sina usiri wa kunifanya niweke siri.
 
Ni mimi ndio sijaelewa au?? shida ya mtoa mada ni kuweka picha au mada aliyoitoa?

Pia nauliza hua kuna shida gani mtu akiweka picha yake HALISI jamii forum??
Jf ni jukwaa huru ambalo watu hujiunga na kutumia I'd fake ili iwe rahisi kutoa maoni kwa uwazi na huru zaidi. Hata hivyo ukitaka ujulikane unawafuata mods inbox wanakupa utaratibu ili uwe verified user, hata kikitokea chochote wajue wanamwanachama wa aina gani na anapatikana wapi kwasababu ni verified.

Otherwise anayejiexpose kwenye jumba hili bovu ni hamnazo.
 
Nasubiri maelezo ya hio picha nitoe ushauri.....

Huyu kazoea insta, unaweka picha ya Mbuzi halafu mada ni amber rutty
 
Jf ni jukwaa huru ambalo watu hujiunga na kutumia I'd fake ili iwe rahisi kutoa maoni kwa uwazi na huru zaidi. Hata hivyo ukitaka ujulikane unawafuata mods inbox wanakupa utaratibu ili uwe verified user, hata kikitokea chochote wajue wanamwanachama wa aina gani na anapatikana wapi kwasababu ni verified.

Otherwise anayejiexpose kwenye jumba hili bovu ni hamnazo.
Hebu soma tena vizuri maandishi yako kwa utulivu kabisa halafu niambie umeelewa nini?
 
Back
Top Bottom