hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,597
- 73,969
Hahaa jf sihami *****Jaman msimquote maana miaka miwili ijayo atatafuta pa kuficha sura yake asipaone.
Hahaa jf sihami *****Jaman msimquote maana miaka miwili ijayo atatafuta pa kuficha sura yake asipaone.
Mkuu nipe tofauti wanayoitumia Mods kutoa vyeo kama hivi kwa Members.Jf ni jukwaa huru ambalo watu hujiunga na kutumia I'd fake ili iwe rahisi kutoa maoni kwa uwazi na huru zaidi. Hata hivyo ukitaka ujulikane unawafuata mods inbox wanakupa utaratibu ili uwe verified user, hata kikitokea chochote wajue wanamwanachama wa aina gani na anapatikana wapi kwasababu ni verified.
Otherwise anayejiexpose kwenye jumba hili bovu ni hamnazo.
Lol, ushaanza mambo yako. hahahaNimeichek avatar. Hahahaaa
ushamba tu, kwani matumizi yabtecno na simu zingine ni sawa tuYes
Kuna watu wanadharau sana..wenye tecno hawana haki ya kuwa jf...upumbavu
Sura ya Chato kabisa hiyoHahaha hii itakuwa wapi " toka ileje au mbozi (songwe) !?
Sio dharau ila TAFITI zinaonesha kua wenye TECNO ndio wanaongoza kwa matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii.Yes
Kuna watu wanadharau sana..wenye tecno hawana haki ya kuwa jf...upumbavu
We ni tom boy amaSikujua kama jf ni mtandao wa siri aiseee,
yes niliweka picha yangu na hata avatar sasa hivi nimeweka picha yangu sababu sina usiri wa kunifanya niweke siri.
SamahaniDharau hizo
Huyo hajafikia levo za senior bado amateur sana...Facebook senior user
Hiyo saa mbona umeigeuza sasa unaisomajeEt wananzengo humu ndani hii tabia au utaratibu au mazoea ya baadhi ya wanajamii kuishi na watoto Wa ndugu zao ikiwa wazazi wao wamepoteza maisha halafu anapokuj mgen namna ya kumtambulsha unasikia anasema "huyu ndo mtot Wa marehem (k) " umemsahau mimi watoto Wang ni hawa""
Nin maana yake naomba msaadaView attachment 954754
Kwanza check alivyogeuza hiyo saaSio JF tu...huyo anaonekana ni mgeni kabisa kwenye internet pia anaonekana ni wa nyumbani.
Anyway tuwashukuru Wachina..kwa kutuletea TEKNO...mpaka watu wa nyumbani wanaingia JF


Ila go east go west...naikubali courage yake.Kwanza check alivyogeuza hiyo saa![]()
Tom boy maana yake nini?We ni tom boy ama
Dume Jike. Umesema huna cha kuficha na hivyo huyo kwenye DP ni wewe..na huyo kwenye DP anaonekana kama Dume Jike.Tom boy maana yake nini?
Lol, ushaanza mambo yako. hahaha
Dume Jike maana yake nini?Dume Jike. Umesema huna cha kuficha na hivyo huyo kwenye DP ni wewe..na huyo kwenye DP anaonekana kama Dume Jike.
Sasa ndo nauliza je Wewe ni Dume Jike??
Hata Mimi mgeni mitaa hiiMkuu nipe tofauti wanayoitumia Mods kutoa vyeo kama hivi kwa Members.
1.Jf-Member
2.Expert-Member
3.Verified User