Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Alafu sijajiongelea Mimi nimeongea walivyomdis huyo mleta madaMkuu mbona wewe upo na hatujakudharau
Alafu sijajiongelea Mimi nimeongea walivyomdis huyo mleta madaMkuu mbona wewe upo na hatujakudharau
Kwa kweli tutafutiwe tu jukwaaJf kila mtu matawi ya juu dada, wenye Tecno na Itel inabidi tuombe jukwaa letu la kucomment.


Marahaba mtoto mzuri, hujambo?Dharau hizo
Alafu sijajiongelea Mimi nimeongea walivyomdis huyo mleta mada
Kua wapi?
Wapi nimekataa?Nawewe kukataa kuwa unatumia tecno ni dharau pia, kubali tu hata kama hutumii
Sikujua kama jf ni mtandao wa siri aiseee,
yes niliweka picha yangu na hata avatar sasa hivi nimeweka picha yangu sababu sina usiri wa kunifanya niweke siri.
Sijambo mkuuMarahaba mtoto mzuri, hujambo?
Naomba heshma ifuate mkondo wake ..ko umeon nongwa kucomment bila kutype Tecno..mkuu chunga sana keypad yako itakugharim..Ohoo!!Sio JF tu...huyo anaonekana ni mgeni kabisa kwenye internet pia anaonekana ni wa nyumbani.
Anyway tuwashukuru Wachina..kwa kutuletea TEKNO...mpaka watu wa nyumbani wanaingia JF
nimecheka sanaSio JF tu...huyo anaonekana ni mgeni kabisa kwenye internet pia anaonekana ni wa nyumbani.
Anyway tuwashukuru Wachina..kwa kutuletea TEKNO...mpaka watu wa nyumbani wanaingia JF
HahaaKaribu kwenye Ulimwengu wa Social Media.
You are never too late!
Duh !!Sana sana akaribie JF
Hahaha hii itakuwa wapi " toka ileje au mbozi (songwe) !?Sio JF tu...huyo anaonekana ni mgeni kabisa kwenye internet pia anaonekana ni wa nyumbani.
Anyway tuwashukuru Wachina..kwa kutuletea TEKNO...mpaka watu wa nyumbani wanaingia JF
HahaaHata mimi nimewaza kama wewe maana picha na content ni sawa na kula kiepe ukashushia na chai ya rangi
HahaaHabari ya hapo Chato mkuu?
Hahaa my ribsHahah sio kawasha Tochi ...MKUU TOCHI IMEJIWASHA YENYEWE!
kama vile unavyoweza kujipiga au kutuma sms kwa watu wanaokudai ikisema kua huna mpango wa kulipa.