Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,416
Ukweli ni kwamba Mtu yeyote anayejitambua na Mwenye akili timamu hawezi kuishabikia CCM.
Watu wenye akili timamu wapo CCM.waliopo chadema ni wahuni na waganga njaa tu
Ukweli ni kwamba Mtu yeyote anayejitambua na Mwenye akili timamu hawezi kuishabikia CCM.
ila anayejitambua kwa viroba pekee huishabikia chadema, hapo umenena kamandaUkweli ni kwamba Mtu yeyote anayejitambua na Mwenye akili timamu hawezi kuishabikia CCM.
Mkuu, watu wanaipenda CHADEMA kutoka moyoni, hadi wanaCCM nao siku hizi wanashona uniform zao katika staili ya gwanda za CHADEMA, CHADEMA ni mpango wa Mungu.
Kwa mwana intelijensia ya kulinda chama badala ya nchi ni wendawazimu lakini kwa wanamageuzi si ulinganishi bali ni zaidi ya..Ni wehu tu na wendawazimu kumlinganisha Mbowe na MHeshimiwa Rais Jakaya Kikwete.
ukweli ni kwamba mtu yeyote anayejitambua na mwenye akili timamu hawezi kuishabikia ccm.
thread nyingine hata hazifai kuitwa thread,
ukweli ni kwamba mtu yeyote anayejitambua na mwenye akili timamu hawezi kuishabikia ccm.
thread nyingine hata hazifai kuitwa thread,
thread nyingine hata hazifai kuitwa thread,
Tutumie picha acha hadithi