Sivyo kama mnavyomfikiria Rais Dr. Magufuli

Sivyo kama mnavyomfikiria Rais Dr. Magufuli

Mh Rais Dr John Pombe Magufuli ni rais wa watanzania wote. Anatabia yakusifia mazuri nakuponda maovu. Hana macho yahuruma kumkemea muovu.

Taasisi yake ya Urais haina urafiki na mtu au kiongoze awaye yeyete ktk maongozi yake. Tofauti na serikal zimepita Mh Magufuli ni kiongozi anapenda kusoma data na kupata maelekezo toka idara nyeti zimemzunguka nakuchukua maamuzi pale yanaitajika.

Mkuu wetu hapendi viporo yani boss nitamaliza kesho na kesho usimalize kweli utajuta.

Rais wetu anapenda kama ni project basi uwendane na project plan schedule na kuliko uchelewe basi umalize before due date. Hapo utaona jino lake la mwisho kwa furaha.

Hapendi much know au mambo ya mkato bila fuwata taratibu. Ukiwa much know baba umeliwa kichwa anapenda msikilizaji,mawazo na sio kukosoa bila majibu. Kiufupi ni kiongoz anapenda genius people na kiukweli ukiwa na akili Mh Rais utampenda.

Usiende ofisini kwake kwa umbea kama data anazo mpaka zakwako mwenyewe. Unataka uongee nae ongea habari za maendeleo ama mpe ubuyu wa maendeleo hakika anaweza kukupigia sim kesho yake.

Anapenda dam ya vijana japo wachache wanamletea shida ndani ya system japo system inamsaidia sana kuwatuliza.

Umewahi kujiuliza why nape na bashe wanahaha kumkosoa?

Hehehe jibu rahisi sana amewazidi akili. Vijana hawa Mungu atawasamehe maana ni huruma. Ila yeye kama unamfuwatilia kunasiku aliwasikia Bungeni wanachonga sana akamwambia waziri waambie waniletee mwekezaji nitawapa deal Uliwasikia tena... Basi huyo ndio Magufuli.

Je, analala?
Sina uwakika uwenda ni mmoja wa marais duniani hapati usingiz kwa ajili ya watanzania.

Nia yake kuu sana nikumfikishia pesa mwananchi yule fukara kabisa kwakweli naweza kulia anawapenda sana watanzania na anumia sana kuona watanzania ni masikini na mijitu michache ilio vimbiwa inawanyonya zaid ya 40m tanzanian.

Huyu ndie Rais Dr Magufuli sijamaliza.
Mkuu wewe uko very close na mh rais?
 
Utter rubbish
Huyu ni megalomaniac with delusion of grandeur
Anajiona yeye ni mjuvi wa kila kitu mwenye nguvu za kimungu nchini
Anajiona yeye ni Messiah fulani aliyetumwa na Mungu duniani
Huu ni ugonjwa wa akili
 
Brother, his double standards katika kushughulikia vyeti feki inampunguzia maksi!
Mbona hakuna double standards yoyote!.
Msichanganye wateule na watumishi wa umma .Ukaguzi wa vyeti ni kwa watumishi wa umma na sio wateule!.
P
 
Mh Rais Dr John Pombe Magufuli ni rais wa watanzania wote. Anatabia yakusifia mazuri nakuponda maovu. Hana macho yahuruma kumkemea muovu.

Taasisi yake ya Urais haina urafiki na mtu au kiongoze awaye yeyete ktk maongozi yake. Tofauti na serikal zimepita Mh Magufuli ni kiongozi anapenda kusoma data na kupata maelekezo toka idara nyeti zimemzunguka nakuchukua maamuzi pale yanaitajika.

Mkuu wetu hapendi viporo yani boss nitamaliza kesho na kesho usimalize kweli utajuta.

Rais wetu anapenda kama ni project basi uwendane na project plan schedule na kuliko uchelewe basi umalize before due date. Hapo utaona jino lake la mwisho kwa furaha.

Hapendi much know au mambo ya mkato bila fuwata taratibu. Ukiwa much know baba umeliwa kichwa anapenda msikilizaji,mawazo na sio kukosoa bila majibu. Kiufupi ni kiongoz anapenda genius people na kiukweli ukiwa na akili Mh Rais utampenda.

Usiende ofisini kwake kwa umbea kama data anazo mpaka zakwako mwenyewe. Unataka uongee nae ongea habari za maendeleo ama mpe ubuyu wa maendeleo hakika anaweza kukupigia sim kesho yake.

Anapenda dam ya vijana japo wachache wanamletea shida ndani ya system japo system inamsaidia sana kuwatuliza.

Umewahi kujiuliza why nape na bashe wanahaha kumkosoa?

Hehehe jibu rahisi sana amewazidi akili. Vijana hawa Mungu atawasamehe maana ni huruma. Ila yeye kama unamfuwatilia kunasiku aliwasikia Bungeni wanachonga sana akamwambia waziri waambie waniletee mwekezaji nitawapa deal Uliwasikia tena... Basi huyo ndio Magufuli.

Je, analala?
Sina uwakika uwenda ni mmoja wa marais duniani hapati usingiz kwa ajili ya watanzania.

Nia yake kuu sana nikumfikishia pesa mwananchi yule fukara kabisa kwakweli naweza kulia anawapenda sana watanzania na anumia sana kuona watanzania ni masikini na mijitu michache ilio vimbiwa inawanyonya zaid ya 40m tanzanian.

Huyu ndie Rais Dr Magufuli sijamaliza.


Wengi wenu hamjui Magufuli wengine tunamjua Magufuli kabla hajapata ubunge ni si kweli kwamba ni kama Nyerere. Nikuulize machache tu
1. Nyerere alijenga apartments za billions bila kueleza alitoa wapi pesa
2. Wakati wa Nyerere uliona kiongozi wa siasa anapigwa risasi kama Lissu? na hakuna uchunguzi unaoendelea
3. Wakati wa Neyere uliona mtu yeyote anayepelekwa mahakamani kwa kumuongea Raisi?
4. Unafikiri angekuwa Nyerere nyama vya siasa vingezuiwa kufanya mikutano?

Nyerere alikuwa haogopi kufanya debate, kuongea na yeyote kitu ambacho hakipo siku hizi. Magufuli hata kujieleza hawezi ni aibu kubwa kumfananisha na Nyerere. Na kimoja kwa msiomjua Magufuli ni mbinafsi sana na hilo ndilo tatizo lake sio wa kuiba sanasana lakini ana wivu sana na anaweza kukukwamisha kwa sababu za wivu tu. Msishangae anajali sana mtu kaenda likizo wapi hata kama pesa ni zake. sitaeleza zaidi lakini tunajuana personally naye miaka mingi sasa
 
Mh Rais Dr John Pombe Magufuli ni rais wa watanzania wote. Anatabia yakusifia mazuri nakuponda maovu. Hana macho yahuruma kumkemea muovu.
Vipi amesha mkememea yule RC aliesema hatoshirikiana na Madiwani na Wabunge wa chadema, vp wale mawaziri kule kinondoni wanasema asipochaguliwa Mtulia hawatapeleka huduma zozote pale Kinondoni, Magu hajaiskia hii?
 
Umenena vyema
Ila haka kamtindo ka kutengeneza matatizo kisha yanatatuliwa ndo kananichanganya.
 
Napinga na hoja zenu. Magufuli wa hovyo miaka ishirini iliyopita na sasa wa ovyo zaidi kwa sababu hajui urais nini. Ataendelea kutufarakanisha kwa ubaguzi kudhihirisha uovyo wake, Sababu ya uhovyo wake ni kuwa hana maono wala hashauriki hajawahi shaurika ahsante CCM.
 
Je, analala?
Sina uwakika uwenda ni mmoja wa marais duniani hapati usingiz kwa ajili ya watanzania.

Hapo kwenye red...tuwe serious kidogo. Huku nikiyakubali yote uliyoyaandika hilo nakukatalia unaexagerate. Angekuwa halali asingefanya yote uliyomsifia. Usingizi huongeza uwezo wa kufikiri na kufanya maamuzi.

wataalamu wanasema kuwa binadamu asipopata usingizi siku 11 anakuwa katika hatari ya kufa.
 
Mh Rais Dr John Pombe Magufuli ni rais wa watanzania wote. Anatabia yakusifia mazuri nakuponda maovu. Hana macho yahuruma kumkemea muovu.
...
Mkuu wetu hapendi viporo yani boss nitamaliza kesho na kesho usimalize kweli utajuta.
...
Hapendi much know au mambo ya mkato bila fuwata taratibu.
...
Kiufupi ni kiongoz anapenda genius people na kiukweli ukiwa na akili Mh Rais utampenda.
...
Umewahi kujiuliza why nape na bashe wanahaha kumkosoa?
...
Nia yake kuu sana nikumfikishia pesa mwananchi yule fukara kabisa kwakweli naweza kulia anawapenda sana watanzania na anumia sana kuona watanzania ni masikini na mijitu michache ilio vimbiwa inawanyonya zaid ya 40m tanzanian.

Huyu ndie Rais Dr Magufuli sijamaliza.

Katika bandiko lako leo Mkuu TumainiEl nimependa vipande hivyo, nilivyokunukuu, na mfano wa hao vijana machachari wa CCM.

Kwa kuongezea tu Dr Magufuli ni mwanasayansi mahiri. Anafanya siasa kwa misingi ya kisayansi. Misingi ya sayansi ni matokeo yanayopimika na siyo ya kufikirika.

Kwa sababu hiyo, hakuna mwanasiasa yeyote, kwa sasa, anayeweza kumshinda Dr Magufuli kwa maneno, matendo na muono, kama kiongozi.

Wakati wanasiasa wengi wanajipendekeza kwa wapiga kura kwa maneno ya laghai, Dr Magufuli hajipendekezi kwa wapiga kura bali anatatua kero zao kwa vitendo.

Wakati viongozi wa upinzani na baadhi ya wa CCM, wakikebehi mikakati yake ya kiuchumi, wao hao hawana mikakati mbadala. Sina uhakika kama wanajua vichocheo vya maendeleo kuelekea uchumi endelevu? Nauliza hivyo kwa kuwa mikakati ya Serikali inayoongozwa na Dr Magufuli imejikita katika kuboresha miundo mbinu, kama mkakati mama, ambao unaotafsiriwa na wapinzani kuwa ni wa "kukurupuka" na upotevu wa pesa ambayo ingegharamia kero za jamii. Wenye fikra hizo ni sawa na mtoto anayelilia mkate wakati mzazi wake hata senti ya kununua kitumbua hana.

Serikali inahitaji kuwa na pato la kuweza kumudu kujiendesha na kugharamia huduma za jamii na shughuli za maendeleo. Kipato chake hutokana na kodi. Kodi haiwezi kupatikana kama hakuna uzalishaji mali. Uzalishaji mali hutegemea ubora wa miundo mbinu km barabara, reli, angani, na majini ili bidhaa na malighafi zisafirishwe kwa wakati na usalama. Pia ubora wa miundo mbinu ni muhimu kwa wananchi ili waweze kufika kwenye huduma za jamii (maji, elimu na afya ) kwa wakati na salama.

KUPANGA NI KUCHAGUA - someni ilani ya uchaguzi ya CCM (2015)
 
Mbona hakuna double standards yoyote!.
Msichanganye wateule na watumishi wa umma .Ukaguzi wa vyeti ni kwa watumishi wa umma na sio wateule!.
P
Brother, sijakuelewa kabisa nieleweshe please!
Wateule kuvunja sheria ni halali?
Wateule wanamtumikia nani, mteua au umma?
 
NDIO MAANA ALIMPANDISA CHEO MTUHUMIWA WA RUSHWA KULE ARUSHA
Mawazo ya kunakiri na kukariri, maana upinzani ati wana mawakili nguri, huitetemesha Serikali, lakini wanasita kumpeleka huyo mtuhumiwa mahakamani, BADALA yake wanamshitaki mitandaoni na kwenye vyombo vya habari. AIBU TUPU.
 
Pascal Mayalla unaunga mkono hoja ila sijakuelewa kulingana na uzi wako unaowahusu TISS ....

Mimi nnajiuliza kwanini haya malalamiko kuhusu TISS yameibuka kipindi hiki?Kwanini hizi sintofahamu zote hazitolewi majibu?

Kwa nini hujiulizi Rais Magufuli maovu yote anayoyatamka hadharani, na hatua kali anazozichukua, taarifa anazipata wapi?

Kwa nini hujiulizi, Marais waliopita walikuwa hawajui maovu hayo, na kwa nini hawakuchukua hatua?

Kwa nini hujiulizi inakuwaje maovu yaliyokemewa na viongozi wa upinzani, sasa yanashughulikiwa kwa vitendo na Rais Magufuli, badala ya kuunga mkono wanalalamika na kulaumu?
 
Magu ndio habari ya mujini. Kwa wale waliokuwa wamezoea kupiga deal watatokwa na mapovu soon.
hata rafiki mugabee alikuwa hiyo habari ili kwa sasa cjui habari yake ni wapi kuna na huyu wa bondeni wamemuinjika jikoni karibuni wanataka kumnywa supu jamani mambo haya yana ugumu wake leo uko wanakushangilia baabae yakitokea haohao wanashangilia cjui akili zetu zikoje bac sawa
 
Kweli halali maana
1. Anamuwaza Tundu Lissu
2. Freeman Mbowe
3.Bernard Member
4. Magazeti yenye kidomodomo
5. Bomba dia
6.etc
 
Tutamkumbuka siku moja huyu Mzee....He is the one of the best PRESIDENT in this WORLD......Despite ya mapungufu yake ya hapa na hapa...LAKINI ANA MAZURI MENGI MNOO......
Sidhani! Tangu 2015 gharama za maisha zinapanda na nyingine zinapandishwa na serikali yake! Lakini hataki kuongeza mshahara, kupandisha watumishi mishahara na hata waliopanda hataki kuwalipa mishahara stahili! Katika utawala wake demokrasia imezimwa sababu ya woga usio na maana! Hataki kupingwa wala kukosolewa! Kiufupi Jamaa ana roho mbaya sana!
 
Kwa nini hujiulizi Rais Magufuli maovu yote anayoyatamka hadharani, na hatua kali anazozichukua, taarifa anazipata wapi?

Kwa nini hujiulizi, Marais waliopita walikuwa hawajui maovu hayo, na kwa nini hawakuchukua hatua?

Kwa nini hujiulizi inakuwaje maovu yaliyokemewa na viongozi wa upinzani, sasa yanashughulikiwa kwa vitendo na Rais Magufuli, badala ya kuunga mkono wanalalamika na kulaumu?

Unazungumzia maovu gani mkuu? Hebu twende kwa mifano.
 
Back
Top Bottom