Sitta: Urais utanifuata wenyewe!

Ndugu Wananchi, Anybody can be a president in this country. Hata wewe unayesoma hapa uko fit kuwa Rais! Msimsakame Mzee S
 
Tatizo JK kaifanya hii kazi ionekane rahisi sana!!! Sidhani kama enzi zile za Nyerere alishawahi kufikiria haya anayoyasema unless kwenye ndoto!!!

Siku hizi kila mtu akiona tu ameanza kujenga jina, hata kwenye mziki au utangazaji anawaza kuongoza nchi. Ndiyo maana wanasiasa wote wanawaza huko.
 
Sasa kama kila mtu anataka uraisi uwaziri mkuu atakuwa nani? Nini kinawasukuma hawa jamaa kuona wao ndo wenye haki ya kutuongoza?

nani ka kwambia kwamba Uwaziri mkuu kwa nyakati ni DEAL!!, wote tunataka Ikulu kupitia tiketi ya Urais bwana uko ndo kila kitu. ata katiba haimugasigasi Rais, hivyo mambo ni mteremko tu.
 
nani ka kwambia kwamba Uwaziri mkuu kwa nyakati ni DEAL!!, wote tunataka Ikulu kupitia tiketi ya Urais bwana uko ndo kila kitu. ata katiba haimugasigasi Rais, hivyo mambo ni mteremko tu.

Haya ngoja tuone!
 
Hii inanikumbusha nchi ya Haiti, kila mtu unayeongea naye ana ndoto za kuwa rais si utani eti. Hata mhudumu wa nyumba ya wageni niiiyokaa naye alikuwa na ndoto ya kuja kuwa rais, alikuwa ana miaka 50 na hajasoma hata sekondari. Akaniambia hata mama yake alikuwa aged 70+ alikuwa hajakata tamaa kuwa rais.
 
Hii inanikumbusha nchi ya Haiti, kila mtu unayeongea naye ana ndoto za kuwa rais si utani eti. Hata mhudumu wa nyumba ya wageni niiiyokaa naye alikuwa na ndoto ya kuja kuwa rais, alikuwa ana miaka 50 na hajasoma hata sekondari. Akaniambia hata mama yake alikuwa aged 70+ alikuwa hajakata tamaa kuwa rais.

Ukiona hivyo unajua nafasi hiyo imedharaulika kiasi kikubwa. Wameona na nafasi ambayo mtu yoyote anaweza kwenda.
 
Kiukweli tumefika mahali tumesahau kabisa utu, ni kawaida sana wale wanowania kutoa msaada ili wafanikishe malengo yao.Lakini tukumbuke pia wapo watu wengi tu wenye mioyo ya kutoa misaada bila kujali watapata nini in return.Kwa nini tusijiulize pengine mzee wa watu alitoa kwa moyo mzuri tu then wakaja wale wanaofikiri mtu akitoa kuna kitu anataka... na ndio yeye kwa busara zake akatoa jibu lile.Tusiwe watu wa kuongelea ubaya tu, tena nashangaa humu kila mtu hafai! kila mtu hafai! ni kutukanana na kuongelea mabaya tu kweli? hivi unajua hata wewe unayesoma hii msg unahusika sana kuibadili Tanzania? na utafanya hivyo kama unatambua hivyo na ukachukua hatua.

Jamani ni vizuri tukajadili sana uzuri wa kitu na tukauboresha,tuongee dosari na tuzitafutie ufumbuzi bila hivyo tutakuwa watu wa lawama tuuuuuu... na hakuna kitakachofanyika.
 
Heshima sana wanajamvi,

Ndani ya CCM Sitta ni miongoni mwa wanasiasa mwenye uwezo na ujasiri wa kuongoza Ikulu ya magogoni.Rekodi ya utumishi wake wakati akiwa spika wa bunge la JMT kila mwenye macho aliona na mwenye masikio alisikia.Ni Samwel Sitta aliyemwambia Kikwete waziwazi awe mkali kwa mafisadi.Ni Samweli Sitta aliyelifanya bunge letu likawa kama lilivyo leo kamati muhimu kama mashirika ya umma,serekali za mitta na hesabu za serekali alihakikisha zinaongozwa na wapinzani matokeo yake Dr W Slaa,Zitto kabwe nyota zao ziling'aa wananchi tukajua uwezo wao.

Mheshimiwa Samwel Sitta ana mapungufu kama walivyo binadamu wengine wengi lakini alipofanya vizuri lazima tumpongeze bila choyo wala hiyana.
 
Heshima sana wanajamvi,

Ndani ya CCM Sitta ni miongoni mwa wanasiasa mwenye uwezo na ujasiri wa kuongoza Ikulu ya magogoni.Rekodi ya utumishi wake wakati akiwa spika wa bunge la JMT kila mwenye macho aliona na mwenye masikio alisikia.Ni Samwel Sitta aliyemwambia Kikwete waziwazi awe mkali kwa mafisadi.Ni Samweli Sitta aliyelifanya bunge letu likawa kama lilivyo leo kamati muhimu kama mashirika ya umma,serekali za mitta na hesabu za serekali alihakikisha zinaongozwa na wapinzani matokeo yake Dr W Slaa,Zitto kabwe nyota zao ziling'aa wananchi tukajua uwezo wao.

Mheshimiwa Samwel Sitta ana mapungufu kama walivyo binadamu wengine wengi lakini alipofanya vizuri lazima tumpongeze bila choyo wala hiyana.

Yote hayo tunayakubali, lakini angalia motive yake ilikuwa nini? Ni ukweli usiopingika kuwa Sitta ana hasira na kikwete kwa kumnyima u-PM. Ndiyo maana anakuwa na kinyongo na kisasi. Binafsi namuona kama mtu ambaye hana uvumilivu pia, hana ujasiri wa kuchukua maamuzi. Ni dhahiri kabisa, kwa mtu wa aina yake angekuwa na uthubutu hadi leo asingeendelea kubaki Chama cha Magamba. Hana huo ubavu. Hii tunaweza kuitafsiri kama woga.
 
Yote hayo tunayakubali, lakini angalia motive yake ilikuwa nini? Ni ukweli usiopingika kuwa Sitta ana hasira na kikwete kwa kumnyima u-PM. Ndiyo maana anakuwa na kinyongo na kisasi. Binafsi namuona kama mtu ambaye hana uvumilivu pia, hana ujasiri wa kuchukua maamuzi. Ni dhahiri kabisa, kwa mtu wa aina yake angekuwa na uthubutu hadi leo asingeendelea kubaki Chama cha Magamba. Hana huo ubavu. Hii tunaweza kuitafsiri kama woga.

Mkuu mtego wa Lowassa na Rostam umekunasa.Haya maneno ya kuutaka uPM yalikuwa ni sehemu ya utetezi wa laigwanani wa EA hili kuhalalisha uhalifu wake wa Richmond.Nampenda Sitta kwasababu moja kubwa ana uwezo wa kukemea na kuadhibu ufisadi tofauti na Kikwete ambaye ametufikisha mahali pabaya kiasi mafisadi wanatuchezea.
 
Hatimaye Sitta ameanza kutoboa jibu. Leo akiwa jimboni kwake Urambo amesema kuwa hatua yake ya kutoa misaada makanisani siyo kwamba anatafuata urais. Kwamba kama Urais upo basi utamfuata wenyewe kwa wananchi kumhesimu.

Source: ITV

mkuu ulisikia la urais tu? Au ndo kila mmoja aje na mada yake toka kwenye hiyo hotuba? Kukuongezea tu ni kuwa kasema, kwa mujibu wa sumaye, adui mpya ni ufisadi. Na watapambana hadi kieleweke. Sitta na sumaye wameunda timu
 
Mkuu Raia Fulani,

Unajua nawapenda wanasiasa wanaoweka misimamo yao hadharani pia sio ubaya mtu akitangaza nia mapema hii inasaidia wananchi kumchunguza na kubaini mapungufu mapema.


mkuu ulisikia la urais tu? Au ndo kila mmoja aje na mada yake toka kwenye hiyo hotuba? Kukuongezea tu ni kuwa kasema, kwa mujibu wa sumaye, adui mpya ni ufisadi. Na watapambana hadi kieleweke. Sitta na sumaye wameunda timu
 
kumbe naye anautamani!!!!!!!!!!!!!!! kasema ukija uje tu ..... ukimfuata umfuate tu.
 
Taarifa za kiintelijensia zinaonyesha kuwa kuna watu wametumwa humu JF kumshambulia SITTA na kumfagilia MAMVI. Angalieni vizuri thread zinazowahusu watu hawa wawili mtaona majina fulani yanajirudia katika kumkashifu SITTA na kumfagilia MAMVI. Ukweli unabaki kuwa SITTA ana uzalendo zaidi kwa nchi hii kuliko wanasiasa wengi mnaowafahamu. Tunahitaji viongozi wa aina hii.
 
Tatizo JK kaifanya hii kazi ionekane rahisi sana!!! Sidhani kama enzi zile za Nyerere alishawahi kufikiria haya anayoyasema unless kwenye ndoto!!!

Kila mmoja anaona anaweza kuwa rais; kama mkweree ameweza nani duniani atashindwa kuwa rais!! Ndio maana wajinga wajinga wengi wakiwemo wakina Nchimbi na Membe nao wanafikiri ni presidential material na degree zao za kuchonga!
 
Back
Top Bottom