Sitta on DOWANS payment: unanswered questions and painful

Kauli za Mzee 6 kuhusu Dowans zinaonyesha waziwazi kuwa anafahamu vizuri jinsi utapeli ulivyofanyika. Kama ni mzalendo wa kweli, basi auambie umma wa watanzania ukweli kuhusu Dowans. Vinginevyo, siwezi kumtofautisha Mzee 6 na viongozi wengine wanaotaka malipo kwa Dowans yafanyike.
kwa siitta ninayemfahamu, yule aliyeondoa shilingi wakti mustafa nyanganyi alipoenda kununua kivuko kibovu kikaua watu, yule aliyechapwa fimbo na nyerere, yule aliyeongozza mgomo pale udsm 1966! wakati haujafika, sitta anaona mbali kuliko sote, subirini muone, ndo mkombozi pekee aliyebaki
 
mi naona kujiuzulu sio suluhisho. Akiwa waziri na akiwa upande wa nchi ni vyema. Sasa kama watendaji wote wazuri wakijiuzulu kwa kuwa serikali ya rais wenu ni mbovu mambo si yatakuwa magumuest? Yeye atutajie wahusika. Kama anaogopa kuwa sokoined azitupie wikileaks au JF au awape ulaji waandishi wa habari kimya kimya!

Kuilipa dowans sioni tatizo kama itakuwa ndiyo gharama ya kuiondoa CCM na dikteta yaani dokta wa kubumba na Phd za umatonya!

I will contribute to pay dowans if that means we will be free again! Tunaelekea pabaya na tusipomwomba Mungu, we are done!

Hongera kikwete kw kuamua kwa dhati kujaribu kutuangamiza...jaribu tena muda mwingine maana umeshindwa, wewe na mabosi wako!
 
Anayosema Sitta ni sawa na mtu aliyeko baa akibwia ulabu kwa kwenda mbele na kisha kupiga kelele kuwa ulevi mbaya!
 
6 ondoka ccm haraka sana misimamo yako ni bora na ya mhimu sana kwataifa lakini ni hatari sana kwako......
 
6 ni ndumilakuwili. Hana uzalendo. 2kumbuke ktk bunge la kumi mjadala wa richmond ulifungwa kuikoa serikali na chama-CCM wakati 6 akiwa spika. Ni wazi kwamba mzee 6 anayajua mengi kuhusu dowans. Nathubutu kusema kwamba 6 ni bonge la mnafiki!
 
Katika wote mnao jidai Sitta, Sitta, Sitta. Hakuna hata mmoja alie quote Sitta kasema nini haswa! nyooote mnahaha tu. Leta context.
 
if and only if akihama CCM

Wakuu, hivi kutamka maneno hayo na yote mengineyo aliyokwisha sema kwenye national TV sio mchezo kitendo anachokifanya ni Zaidi ya kuhama sisiemu.
Kwa maana akishaama ataonekana ni mchochezi muongo mnafiki
 
Wakuu, hivi kutamka maneno hayo na yote mengineyo aliyokwisha sema kwenye national TV sio mchezo kitendo anachokifanya ni Zaidi ya kuhama sisiemu.
Kwa maana akishaama ataonekana ni mchochezi muongo mnafiki

Maneno gani aliyosema? yaweke hapa, au nawe ni mmoja wao?
 
Wakati anatamka kuwa ni mpango wa mafisadi na maandalizi ya uchaguzi wa 2015 na wahusika walitajwa na wameshatajwa sana hapa Jamvini
 
kumbukeni wapendwa kuwa aliwahi kutokea mrema na satyle hiyo hyo ya kulipua mambo sometimes dhidi ya cabinet. sote tunajua mwisho wake. kama sita hahofii nafasi yake kwenye cabinet na ccm basi ni wakati muafaka kutoka ccm. kumbuka raila odinga, mwai kibaki etc wamehama vyama chungu mzima lakini bado wako kwenye chart za siasa za kenya na ni nguli haswa. ni wakat sasa afanye uamuzi kama huo, asisubiri kutemwa nao, bali yeye awahi kuwatema na atangaze mapemma kuwa kama dowans wakilipwa yeye atajiuzulu iki ku-establish cause-effect relationship na kuweka bayana msimamo wake katika jamii
 
Former National Assembly Speaker Samuel Sitta, who now is the East African Cooperation minister, said the decision to pay Dowans had not gone through the Cabinet.

Mr Sitta said he would seek an explanation over the matter when the Cabinet convenes, adding that there were some unanswered questions.

Mr Sitta, who was the Speaker when a parliamentary committee investigated Dowans’ predecessor, Richmond Development Company, over the $172 million emergency power supply scandal, said it was “painful” to pay the amount.

The minister said he believed Mr Ngeleja and Attorney General Frederick Werema would have something to tell the Cabinet since all the announcements they were making had not been discussed by ministers.
“They will have to tell us…t is very serious. We have not discussed the matter collectively and made a decision to pay up,” he said, adding that he was commenting as a responsible citizen, knowing the issue was outside his docket.

Source: The Citizen
 
For me, this man is daring and its good that there is someone within CCM who can explode them ...excuse my english! Who can expose 'em!( Kuwalipua! )
He doesn't have to do it in CDM or any other party,
6 I gat ur back! ( Well in JF domain only )

Very true. Nafikiri kati ya ilani au viapo vya CCM kunasehemu inasema "nitasema kweli daima fitina kwangu mwisho" kama sikosei (Refer enzi zile la somo la Siasa) lakini hata icho kipengele CCM wenyewe hawatekelezi leave alone "Rushwa ni adui wa haki". Sitta anaonekana ndio pekee anayetekeleza ilani ya chama chake.
 
Anasema kulipaswa kupitiwa masuala ya muhimu na serikali badala ya kukurupuka kulipa.

(ni kama vile anamaanisha ishu nzima ni dili).

hapo tu ndo uwa nakubali 6 ni chuma cha pua

Chuma cha pua gani kilichotaka kupambana na Slaa wakati wa kampeni, mdahalo uliokatazwa na Makamba. Hakuna chuma pale, ni plastiki kwa kwenda mbele. Hiki ndicho chuma kilichotoa chozi kisipokwe kadi ya CCM. Mchanganyiko wa chuma na udongo..........
 
kumbukeni wapendwa kuwa aliwahi kutokea mrema na satyle hiyo hyo ya kulipua mambo sometimes dhidi ya cabinet. sote tunajua mwisho wake. kama sita hahofii nafasi yake kwenye cabinet na ccm basi ni wakati muafaka kutoka ccm. kumbuka raila odinga, mwai kibaki etc wamehama vyama chungu mzima lakini bado wako kwenye chart za siasa za kenya na ni nguli haswa. ni wakat sasa afanye uamuzi kama huo, asisubiri kutemwa nao, bali yeye awahi kuwatema na atangaze mapemma kuwa kama dowans wakilipwa yeye atajiuzulu iki ku-establish cause-effect relationship na kuweka bayana msimamo wake katika jamii

Bongo ukihama chana na ukawa hujazoeleka katika upinzani ndio mwisho wako katika game..........Shibuda alijaribu kupambana na Kikwete katika tiketi ya urais akatoswa lakini amebaki ktk game; he is just one exception.
 
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Waziri katika Baraza la Mawaziri ameamua kumkosoa mwenzake hadharani kutokana na uamuzi alioutangaza hivi karibuni kwa Taifa.

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta ndiye amepata ujasiri huo kwa kumkosoa Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, kutokana na kutangaza kuilipa Kampuni ya kufua umeme ya Dowans Sh bilioni 94, hatua ambayo anaona hakustahili
kuitangaza yeye

source:HabariLeo | Sitta ampinga Ngeleja malipo fidia Dowans

Sasa waJF hawa mawaziri wa JK hawakai pamoja na kutolea maamuzi ya pamoja kuhusu maswala ya taifa kabla waziri husika hajasema kwa niaba ya serikali maana juzi Cecila Kombani naye katiba serikali haina hela PM tutashauriana na JK
Sasa tumwamini nani au mpaka JK aseme mwenyewe? nisaidieni waJF

Nawakilisha
 
Back
Top Bottom