MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 884
Wote hawa ni mkoa wa Tabora. Jamani unganeni muangalie mkoa wenu wa tabora na wilaya zake. Uko nyuma sana na nafasi mnazo. Usipojenga kwako nani atakujengea? Unganisheni Kigoma na Tbr kwa barabara tena kwa vitendo na sio maneno matupu. Mkicheza mtakuja hukumiwa na wapiga kura wenu wa Tabora na vizazi vijavyo. Hamuoni aibu?