Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Gazeti la Majira linatuhabarisha leo ya kuwa Mheshimiwa Spika Mstaafu ambaye ana elimu ya sheria amefafanua kuwa Chadema wanayohaki ya kisheria kumkataa JK...................
Hii inaondoa mashaka ya baadhi ya watu waliokuwa wanafikiri haki hiyo Chadema hawana.................................
Gazeti hilo la majira limeweka kwenye ukurasa wake wa kwanza kichwa cha habari kipana kisemacho "Chadema wanaruhusiwa kumsusia Kikwete" - Sitta
Hii inaondoa mashaka ya baadhi ya watu waliokuwa wanafikiri haki hiyo Chadema hawana.................................
Gazeti hilo la majira limeweka kwenye ukurasa wake wa kwanza kichwa cha habari kipana kisemacho "Chadema wanaruhusiwa kumsusia Kikwete" - Sitta