Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,906
Live toka hapa Dodoma . Sitta kwa mara nyingine amezima issue ya kutaka hoja iende Bungeni kwa kusema anashauriana na Serikali na anatatoa majibu baadaye . Hii ni baada ya wapinzani kuanza kuibana serikali na Zitto akiwa anakaribia kusimama kumwaga mambo basi Spika akasema basi inatosha atalisemea baadaye .So sasa ni matangazo maana kesha ua sooo. Hili ndilo Bunge letu la watukufu wetu wale .