Sita sawa na Mugabe, yupo tayari kusema/kufanya lolote ii mradi aende magogoni. Sitta, Malecela, Mukama, Makamba X2, Membe, Zito, Nchimbi, Lyatonga, Lipumba na Slaa wote ni hasara
Bimkubwa, kwanza nakuballiana na wewe kwamba mzee 6 hauwezi muziki wa RA na EL, huo ni muziki mnene mno kwake, naomba mwongozo wako, Je tuhuma zilizotolewa na 6 ni za kweli au sio kweli? Bila kujali kama muziki wao anauweza au hauwezi!Sitta hajapona majeraha ya kudodondoshwa uspika sasa unajitengenezea vidonda vya tumbo.
Sitta, naona utu uzee wako unakupeleka pabaya. Lowassa na Rostam ni ngoma nzito huiwezi.
Naona Sitta kishajijuwa kuwa hata uwaziri wa geresha aliopewa sasa hanao tena, ameamuwa kutapatapa.
Nakushauri Sitta, uwache siasa majitaka, kama una lolote kaa chini uzungumze na Lowassa mkubaliane yaishe, haikusaidii kitu kutapatapa vyombo vya habari.
Bimkubwa, kwanza nakuballiana na wewe kwamba mzee 6 hauwezi muziki wa RA na EL, huo ni muziki mnene mno kwake, naomba mwongozo wako, Je tuhuma zilizotolewa na 6 ni za kweli au sio kweli? Bila kujali kama muziki wao anauweza au hauwezi!
Sitta hajapona majeraha ya kudodondoshwa uspika sasa unajitengenezea vidonda vya tumbo.
Sitta, naona utu uzee wako unakupeleka pabaya. Lowassa na Rostam ni ngoma nzito huiwezi.
Naona Sitta kishajijuwa kuwa hata uwaziri wa geresha aliopewa sasa hanao tena, ameamuwa kutapatapa.
Nakushauri Sitta, uwache siasa majitaka, kama una lolote kaa chini uzungumze na Lowassa mkubaliane yaishe, haikusaidii kitu kutapatapa vyombo vya habari.
Bimkubwa, kwanza nakuballiana na wewe kwamba mzee 6 hauwezi muziki wa RA na EL, huo ni muziki mnene mno kwake, naomba mwongozo wako, Je tuhuma zilizotolewa na 6 ni za kweli au sio kweli? Bila kujali kama muziki wao anauweza au hauwezi!
Iko wazi kuwa Rostam na Lowasa ni mafisadi wakuu afrika mashariki na kati, sasa kwa wewe kukiri kuwa mafisadi hao ni ngoma nzito hawawezekaniki ndani ya ccm ni dhahiri umekiri kuwa taswira kuu ya ccm itaendele kuwa ni ya kifisadi na kikanjanja kama hao ngoma zito ndo wako in charge.Sitta hajapona majeraha ya kudodondoshwa uspika sasa unajitengenezea vidonda vya tumbo.
Sitta, naona utu uzee wako unakupeleka pabaya. Lowassa na Rostam ni ngoma nzito huiwezi.
Naona Sitta kishajijuwa kuwa hata uwaziri wa geresha aliopewa sasa hanao tena, ameamuwa kutapatapa.
Nakushauri Sitta, uwache siasa majitaka, kama una lolote kaa chini uzungumze na Lowassa mkubaliane yaishe, haikusaidii kitu kutapatapa vyombo vya habari.
Iko wazi kuwa Rostam na Lowasa ni mafisadi wakuu afrika mashariki na kati, sasa kwa wewe kukiri kuwa mafisadi hao ni ngoma nzito hawawezekaniki ndani ya ccm ni dhahiri umekiri kuwa taswira kuu ya ccm itaendele kuwa ni ya kifisadi na kikanjanja kama hao ngoma zito ndo wako in charge.
Otherwise CCM vipande-vipande.