msemakweli10
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 229
- 46
Jamani naomba namba ya simu ya mkononi ya Azizi Rostam
Kama kweli, hii itakua sinema ingine!!!
Sitta hajapona majeraha ya kudodondoshwa uspika sasa unajitengenezea vidonda vya tumbo.
Sitta, naona utu uzee wako unakupeleka pabaya. Lowassa na Rostam ni ngoma nzito huiwezi.
Naona Sitta kishajijuwa kuwa hata uwaziri wa geresha aliopewa sasa hanao tena, ameamuwa kutapatapa.
Nakushauri Sitta, uwache siasa majitaka, kama una lolote kaa chini uzungumze na Lowassa mkubaliane yaishe, haikusaidii kitu kutapatapa vyombo vya habari.
Huo ufisadi wa mdomo tu? weka ushahidi.
Hata wewe ni fisadi kwa kuandika habari za uongo. Rostam ni tajiri namba 1 katika Tanzania wamesema forbes, mlileta siasa majitaka akaachia ngazi, sasa Sitta anataka kugombea Urais ambao hauwezi, ikiwa kashindwa mbinu na kijimwanamke tena kihasibu tu kwenye uspika ataweza ngoma ya Urais? nakuhakikishia hawezi hata aje na treni la majitaka wacha hivi vishtaka uchwara.
Mahakama hazijui hata akashitaki CCM?
Kama si ujinga huo ni nini?
Narudia, Lowassa na Rostam ni ngoma nzito ambayo Sitta haiwezi, hata aseme nini.
6 ni mpumb.vu,..anazeeka vibaya!
Nadhani yeye nia yake siyo ya kuwafunga, maana anafahamu kuwa hata mahakama hazifui dafu. Nachotaka ni kuwa wasipate tiketi ya chama kugombea uraisi. Maana anafahamu kuwa wakishapewa tu nafasi hiyo, Lowassa anakuwa Raisi na jamaa huenda hata Waziri Mkuu. Sasa yeye atajificha wapi wakati huo. Tena hilo likitokea yeye ndiye atajikuta kizimbani akijibu tuhuma za ufisadi- nyumba ya spika. Mto utapanda mlima mwaka huu.
Huo ufisadi wa mdomo tu? weka ushahidi.
Hata wewe ni fisadi kwa kuandika habari za uongo. Rostam ni tajiri namba 1 katika Tanzania wamesema forbes, mlileta siasa majitaka akaachia ngazi, sasa Sitta anataka kugombea Urais ambao hauwezi, ikiwa kashindwa mbinu na kijimwanamke tena kihasibu tu kwenye uspika ataweza ngoma ya Urais? nakuhakikishia hawezi hata aje na treni la majitaka wacha hivi vishtaka uchwara.
Mahakama hazijui hata akashitaki CCM?
Kama si ujinga huo ni nini?
Narudia, Lowassa na Rostam ni ngoma nzito ambayo Sitta haiwezi, hata aseme nini.