Sitta awafungulia mashtaka Lowassa, Rostam CCM

Sitta awafungulia mashtaka Lowassa, Rostam CCM

Sitta hajapona majeraha ya kudodondoshwa uspika sasa unajitengenezea vidonda vya tumbo.

Sitta, naona utu uzee wako unakupeleka pabaya. Lowassa na Rostam ni ngoma nzito huiwezi.

Naona Sitta kishajijuwa kuwa hata uwaziri wa geresha aliopewa sasa hanao tena, ameamuwa kutapatapa.

Nakushauri Sitta, uwache siasa majitaka, kama una lolote kaa chini uzungumze na Lowassa mkubaliane yaishe, haikusaidii kitu kutapatapa vyombo vya habari.

Imezee vivyo hivyo japo chungu, Maccm waanza kuvurugana na kuelekea hali jojo. Nyumba ya barafu haihimili joto, maccm kwishney aka carcass
 
Huo ufisadi wa mdomo tu? weka ushahidi.

Hata wewe ni fisadi kwa kuandika habari za uongo. Rostam ni tajiri namba 1 katika Tanzania wamesema forbes, mlileta siasa majitaka akaachia ngazi, sasa Sitta anataka kugombea Urais ambao hauwezi, ikiwa kashindwa mbinu na kijimwanamke tena kihasibu tu kwenye uspika ataweza ngoma ya Urais? nakuhakikishia hawezi hata aje na treni la majitaka wacha hivi vishtaka uchwara.

Mahakama hazijui hata akashitaki CCM?

Kama si ujinga huo ni nini?

Narudia, Lowassa na Rostam ni ngoma nzito ambayo Sitta haiwezi, hata aseme nini.

Nadhani yeye nia yake siyo ya kuwafunga, maana anafahamu kuwa hata mahakama hazifui dafu. Nachotaka ni kuwa wasipate tiketi ya chama kugombea uraisi. Maana anafahamu kuwa wakishapewa tu nafasi hiyo, Lowassa anakuwa Raisi na jamaa huenda hata Waziri Mkuu. Sasa yeye atajificha wapi wakati huo. Tena hilo likitokea yeye ndiye atajikuta kizimbani akijibu tuhuma za ufisadi- nyumba ya spika. Mto utapanda mlima mwaka huu.
 
Chakujiuliza huo ufisadi uliofanywa na Rostam na Lowasa , wamefisadi nchi au Chama?

 
Nadhani yeye nia yake siyo ya kuwafunga, maana anafahamu kuwa hata mahakama hazifui dafu. Nachotaka ni kuwa wasipate tiketi ya chama kugombea uraisi. Maana anafahamu kuwa wakishapewa tu nafasi hiyo, Lowassa anakuwa Raisi na jamaa huenda hata Waziri Mkuu. Sasa yeye atajificha wapi wakati huo. Tena hilo likitokea yeye ndiye atajikuta kizimbani akijibu tuhuma za ufisadi- nyumba ya spika. Mto utapanda mlima mwaka huu.

Hata afanye nini, hana chake, kama alishindwa kutetea kiti cha uspika kwa kudondoshwa na mwanamke ataweza kushindana na wanaume?
 
kesi ya ngedere kapelekewa nyani. Ila yote kwa yote amedhubutu walau kufungua mdomo.
 
Huo ufisadi wa mdomo tu? weka ushahidi.

Hata wewe ni fisadi kwa kuandika habari za uongo. Rostam ni tajiri namba 1 katika Tanzania wamesema forbes, mlileta siasa majitaka akaachia ngazi, sasa Sitta anataka kugombea Urais ambao hauwezi, ikiwa kashindwa mbinu na kijimwanamke tena kihasibu tu kwenye uspika ataweza ngoma ya Urais? nakuhakikishia hawezi hata aje na treni la majitaka wacha hivi vishtaka uchwara.

Mahakama hazijui hata akashitaki CCM?

Kama si ujinga huo ni nini?

Narudia, Lowassa na Rostam ni ngoma nzito ambayo Sitta haiwezi, hata aseme nini.

Haaahaaa...inaelekea kunawatu Tanzania wamezaliwa kuongoza wengine hata kama ni kwa lazima. Sitta si alijenga ofisi ya bunge Urambo? I am sure anaweza kufanya practice kule badala ya kundesha siasa za maji taka
 
Back
Top Bottom