Sitosahau usiku ule Paris nilipotoroka camp kwenda kumuangalia Jay Z na Kanye West, bila kutegemea waliperform Niggas in Paris mara 11 mfululizo

Teslarati

JF-Expert Member
Nov 21, 2019
1,735
6,794
Habari za weekend, leo nimekumbuka tukio moja la 2012. Sisi wenye damu ya uchakalikaji huwa tunakutana na 'mazali ya mentali' mengi sana. Sitoelezea ilikuaje hadi nikaenda Paris-France, lakini tulipelekwa vijana kadhaa wakiwemo watu wa scout kwa ajili ya event fln hivi. Sasa mie kwanza nilidakia, sikupaswa kwenda.

Nilivyofika kule ilikua tukitoka camp tunaenda kwenye hivyo vikao na training lkn mm nilikua na-skip sana sababu sikuona umuhimu wake, nilikua nashangaa shangaa tu jiji la Paris.

Kama nilivyosema, nina damu ya 'mazali ya mentali' Nilipokuwa huko si nikakutana na mwamba mmoja nilisoma nae primary na tulikua mabest sana, jamaa ni kichwa kichafu ila genius balaa na kwao walikua vzr kipesa, alikua na scholarship anasomea huko. Huyo jamaa alikua ni kati ya wenyeji wetu walioandaliwa kutupokea sie wageni kutokea Tanzania. Ile tumekutana baadae jamaa akaja camp tukapiga story sana, primary school pale sie ndo tulikua vichaa wa darasa, halafu siku za pepa tunakaa pembeni ya jamaa tunapiga chabo kwake, matokeo yakitoka crew nzima ipo 10 bora.

Si unajua ile kuvimbiana, jamaa huwa anapenda kutuvimbia sana toka tukiwa watoto, enzi hizo 'brick game' yeye pekee ndo alikua nayo mtaa mzima. Jamaa akasema atanizungusha jiji la Paris nione watu wanavyoishi ulimwenguni. Safari ndo ikaanzia hapo.

Siku ya tatu yake tu nikaanza kutembezwa kwenye night clubs za paris, mzee watu wanaishi. Night life ya paris ndo imeniaffect hadi leo, yaan hata hapa TZ hunikuti bar mchana, utanikuta usiku na ni zile sehemu tu ambazo kuna videm 'naughty' na vikali na iwe in-door. Paris unaweza kuta club haina hata bango, yaani kigeti cha kuingilia ni cha kishkaji tu, ukipita kama mgeni hutojua. Ingia sasa mule ndani mzee. Watu wanakulana live pale pale huku mziki mzito unaendelea. Nilitembezwa kwenye Casinos, na pia kuna vile vijumba vya madada poa. Yaan unaingia unalipia unapewa fungua ya chumba unakuta demu ni ana genye hatari, ukimuona tu lazima udise, na ile karibishwa yake mzee mtoto anakua kalainika kama uji yaani. Hio sio story ya leo, leo nataka niwasimulie moment ambayo sitoisahau kwenye ulimwengu wa hiphop.

Kuna siku nipo na jamaa na baadhi ya marafiki zake tukawa tunapiga story huku tunasikiliza mziki, ikapigwa ngoma ya 'Niggas in paris' enzi hizo 'THE THRONE' (Jay z na kanye west) ndo habari ya mjini na jamaa walikua wanafanya world-wide tour. Kuna jamaa m-nigeria akatuambia 'The Throne' watakuja Paris next week yake. Story zikawa mingi sana kila mtu anasema lazima aende, mie nikawa naona kama miujiza tu so nikawa kimya. Tulivyotoka pale nikamuuliza mchizi wangu kama alikua serious kuhusu kwenda akasema kama tickets hazijaisha basi lazima aende na wale wenzake ila kwenda na mimi itakua ngumu sababu ratiba ya pale camp inakua ngumu kutoka na ukicheki show ni usiku. Kesho yake akaenda kucheki ticket wakapata ticketi zao 4.

Kama bahati tu siku moja kabla ya show kuna rafiki yao mmoja kati ya wale waliokata ticketi alisafiri kwenda kwao (sikujua kwa nn) hivyo ikawepo ticket moja free, jamaa akanistua akasema nitaweza u-ninja anipitie camp pale twende kwenye show, nikamwambia kama ni kumuona Jay Z na Kanye hata nifukuzwe lkn nikawaone kwanza. Tukacheza bonge la mission nikachomoka camp kweli tukaelekea Paris bercy arena,

Mzee kilichotokea kule ndo nikaamini hawa viumbe (kanye west na Jay Z) sio watu wa kawaida. Ilipigwa show baba, show ikaisha. Kisha Nikasikia 'Jay Z doesn't want to leave, Kanye too, Fans too....' Ikaanza encore sasa. Pale ilipigwa ngoma ya 'Niggas in Paris' live mara 11 mfululizo bila kupoteza vibe, uwanja mzima watu walikua wamechizi na hawachoki, yaani ni kama vile show ilikua imeanza upya. Kwa wale msiojua encore, yaan show ikipigwa ikaisha mkafunga ratiba, kuna ile situation inatokea fans wanataka ngoma iendelee, so kinawashwa tena.

Nadhani hii show ndo walitengenezea official video ya huo wimbo.

Ilikua ni mwendo tu wa "..Ball so hard, motherfvckers wanna fine me..."
 
Na ukiangalia mazingira yangu hadi kwenda kwenye ile show yalikua yanaendana na lyrics za wimbo, ilikua ikifikia hii part ya jay z:

"""
B-Ball so hard, I'm shocked too
I'm supposed to be locked up too
You escaped what I've escaped
You'd be in Paris getting fucked up too
"""
Basi nachizi mazima hadi jamaa wakadhani nime-snort kiaina
 
Hii verse

""
She said, "Ye, can we get married at the mall?"
I said, "Look, you need to crawl 'fore you ball"
Come and meet me in the bathroom stall
And show me why you deserve to have it all
""
Kanye huwa anavuta kiaina mwisho wa kila line kwenye hii verse, sasa jamaa alikua ana-move na crowd yote inavuta nae mara zote hizo walizoimba pale
 
Habari za weekend, leo nimekumbuka tukio moja la 2012. Sisi wenye damu ya uchakalikaji huwa tunakutana na 'mazali ya mentali' mengi sana. Sitoelezea ilikuaje hadi nikaenda Paris-France, lakini tulipelekwa vijana kadhaa wakiwemo watu wa scout kwa ajili ya event fln hivi. Sasa mie kwanza nilidakia, sikupaswa kwenda.

Nilivyofika kule ilikua tukitoka camp tunaenda kwenye hivyo vikao na training lkn mm nilikua na-skip sana sababu sikuona umuhimu wake, nilikua nashangaa shangaa tu jiji la Paris.

Kama nilivyosema, nina damu ya 'mazali ya mentali' Nilipokuwa huko si nikakutana na mwamba mmoja nilisoma nae primary na tulikua mabest sana, jamaa ni kichwa kichafu ila genius balaa na kwao walikua vzr kipesa, alikua na scholarship anasomea huko. Huyo jamaa alikua ni kati ya wenyeji wetu walioandaliwa kutupokea sie wageni kutokea Tanzania. Ile tumekutana baadae jamaa akaja camp tukapiga story sana, primary school pale sie ndo tulikua vichaa wa darasa, halafu siku za pepa tunakaa pembeni ya jamaa tunapiga chabo kwake, matokeo yakitoka crew nzima ipo 10 bora.

Si unajua ile kuvimbiana, jamaa huwa anapenda kutuvimbia sana toka tukiwa watoto, enzi hizo 'brick game' yeye pekee ndo alikua nayo mtaa mzima. Jamaa akasema atanizungusha jiji la Paris nione watu wanavyoishi ulimwenguni. Safari ndo ikaanzia hapo.

Siku ya tatu yake tu nikaanza kutembezwa kwenye night clubs za paris, mzee watu wanaishi. Night life ya paris ndo imeniaffect hadi leo, yaan hata hapa TZ hunikuti bar mchana, utanikuta usiku na ni zile sehemu tu ambazo kuna videm 'naughty' na vikali na iwe in-door. Paris unaweza kuta club haina hata bango, yaani kigeti cha kuingilia ni cha kishkaji tu, ukipita kama mgeni hutojua. Ingia sasa mule ndani mzee. Watu wanakulana live pale pale huku mziki mzito unaendelea. Nilitembezwa kwenye Casinos, na pia kuna vile vijumba vya madada poa. Yaan unaingia unalipia unapewa fungua ya chumba unakuta demu ni ana genye hatari, ukimuona tu lazima udise, na ile karibishwa yake mzee mtoto anakua kalainika kama uji yaani. Hio sio story ya leo, leo nataka niwasimulie moment ambayo sitoisahau kwenye ulimwengu wa hiphop.

Kuna siku nipo na jamaa na baadhi ya marafiki zake tukawa tunapiga story huku tunasikiliza mziki, ikapigwa ngoma ya 'Niggas in paris' enzi hizo 'THE THRONE' (Jay z na kanye west) ndo habari ya mjini na jamaa walikua wanafanya world-wide tour. Kuna jamaa m-nigeria akatuambia 'The Throne' watakuja Paris next week yake. Story zikawa mingi sana kila mtu anasema lazima aende, mie nikawa naona kama miujiza tu so nikawa kimya. Tulivyotoka pale nikamuuliza mchizi wangu kama alikua serious kuhusu kwenda akasema kama tickets hazijaisha basi lazima aende na wale wenzake ila kwenda na mimi itakua ngumu sababu ratiba ya pale camp inakua ngumu kutoka na ukicheki show ni usiku. Kesho yake akaenda kucheki ticket wakapata ticketi zao 4.

Kama bahati tu siku moja kabla ya show kuna rafiki yao mmoja kati ya wale waliokata ticketi alisafiri kwenda kwao (sikujua kwa nn) hivyo ikawepo ticket moja free, jamaa akanistua akasema nitaweza u-ninja anipitie camp pale twende kwenye show, nikamwambia kama ni kumuona Jay Z na Kanye hata nifukuzwe lkn nikawaone kwanza. Tukacheza bonge la mission nikachomoka camp kweli tukaelekea Paris bercy arena,

Mzee kilichotokea kule ndo nikaamini hawa viumbe (kanye west na Jay Z) sio watu wa kawaida. Ilipigwa show baba, show ikaisha. Kisha Nikasikia 'Jay Z doesn't want to leave, Kanye too, Fans too....' Ikaanza encore sasa. Pale ilipigwa ngoma ya 'Niggas in Paris' live mara 11 mfululizo bila kupoteza vibe, uwanja mzima watu walikua wamechizi na hawachoki, yaani ni kama vile show ilikua imeanza upya. Kwa wale msiojua encore, yaan show ikipigwa ikaisha mkafunga ratiba, kuna ile situation inatokea fans wanataka ngoma iendelee, so kinawashwa tena.

Nadhani hii show ndo walitengenezea official video ya huo wimbo.

Ilikua ni mwendo tu wa "..Ball so hard, motherfvckers wanna fine me..."
Mzee ungejitahidi uonekanane kwny ile video..,naipenda sana ile video inamzuka flani hivi huchoki kuiangalia..,ila fans walikuwa dizain kama mazombi😂
 
whats gucci ma nigga whats loui ma killa
whats drugs ma dilla whats jacket magilla
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🍺
 
Mzee ungejitahidi uonekanane kwny ile video..,naipenda sana ile video inamzuka flani hivi huchoki kuiangalia..,ila fans walikuwa dizain kama mazombi😂
Mzee sio walikua kama mazombi, yaan walitufanya mazombi muda ule. Jamaa nloenda nao walishangaa kabisa nilivyo pata mzuka ule ghafla.

Ile official video hadi leo nazoom kila sekunde nijione ila waaap.
 
whats gucci ma nigga whats loui ma killa
whats drugs ma dilla whats jacket magilla
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🍺
Doctors say I'm the illest
'Cause I'm suffering from realness
Got my niggas in Paris and they going gorillas, huh?


I don't even know what that means
No one knows what it means, but it's provocative
No, it's not, it's gross. Gets the people going


Kuna beat inafuatia hapo mzee, sio poa kabisa.
 
Doctors say I'm the illest
'Cause I'm suffering from realness
Got my niggas in Paris and they going gorillas, huh?


I don't even know what that means
No one knows what it means, but it's provocative
No, it's not, it's gross. Gets the people going


Kuna beat inafuatia hapo mzee, sio poa kabisa.
Ye sio poa 🔥🔥🔥🔥🔥
 
Habari za weekend, leo nimekumbuka tukio moja la 2012. Sisi wenye damu ya uchakalikaji huwa tunakutana na 'mazali ya mentali' mengi sana. Sitoelezea ilikuaje hadi nikaenda Paris-France, lakini tulipelekwa vijana kadhaa wakiwemo watu wa scout kwa ajili ya event fln hivi. Sasa mie kwanza nilidakia, sikupaswa kwenda.

Nilivyofika kule ilikua tukitoka camp tunaenda kwenye hivyo vikao na training lkn mm nilikua na-skip sana sababu sikuona umuhimu wake, nilikua nashangaa shangaa tu jiji la Paris.

Kama nilivyosema, nina damu ya 'mazali ya mentali' Nilipokuwa huko si nikakutana na mwamba mmoja nilisoma nae primary na tulikua mabest sana, jamaa ni kichwa kichafu ila genius balaa na kwao walikua vzr kipesa, alikua na scholarship anasomea huko. Huyo jamaa alikua ni kati ya wenyeji wetu walioandaliwa kutupokea sie wageni kutokea Tanzania. Ile tumekutana baadae jamaa akaja camp tukapiga story sana, primary school pale sie ndo tulikua vichaa wa darasa, halafu siku za pepa tunakaa pembeni ya jamaa tunapiga chabo kwake, matokeo yakitoka crew nzima ipo 10 bora.

Si unajua ile kuvimbiana, jamaa huwa anapenda kutuvimbia sana toka tukiwa watoto, enzi hizo 'brick game' yeye pekee ndo alikua nayo mtaa mzima. Jamaa akasema atanizungusha jiji la Paris nione watu wanavyoishi ulimwenguni. Safari ndo ikaanzia hapo.

Siku ya tatu yake tu nikaanza kutembezwa kwenye night clubs za paris, mzee watu wanaishi. Night life ya paris ndo imeniaffect hadi leo, yaan hata hapa TZ hunikuti bar mchana, utanikuta usiku na ni zile sehemu tu ambazo kuna videm 'naughty' na vikali na iwe in-door. Paris unaweza kuta club haina hata bango, yaani kigeti cha kuingilia ni cha kishkaji tu, ukipita kama mgeni hutojua. Ingia sasa mule ndani mzee. Watu wanakulana live pale pale huku mziki mzito unaendelea. Nilitembezwa kwenye Casinos, na pia kuna vile vijumba vya madada poa. Yaan unaingia unalipia unapewa fungua ya chumba unakuta demu ni ana genye hatari, ukimuona tu lazima udise, na ile karibishwa yake mzee mtoto anakua kalainika kama uji yaani. Hio sio story ya leo, leo nataka niwasimulie moment ambayo sitoisahau kwenye ulimwengu wa hiphop.

Kuna siku nipo na jamaa na baadhi ya marafiki zake tukawa tunapiga story huku tunasikiliza mziki, ikapigwa ngoma ya 'Niggas in paris' enzi hizo 'THE THRONE' (Jay z na kanye west) ndo habari ya mjini na jamaa walikua wanafanya world-wide tour. Kuna jamaa m-nigeria akatuambia 'The Throne' watakuja Paris next week yake. Story zikawa mingi sana kila mtu anasema lazima aende, mie nikawa naona kama miujiza tu so nikawa kimya. Tulivyotoka pale nikamuuliza mchizi wangu kama alikua serious kuhusu kwenda akasema kama tickets hazijaisha basi lazima aende na wale wenzake ila kwenda na mimi itakua ngumu sababu ratiba ya pale camp inakua ngumu kutoka na ukicheki show ni usiku. Kesho yake akaenda kucheki ticket wakapata ticketi zao 4.

Kama bahati tu siku moja kabla ya show kuna rafiki yao mmoja kati ya wale waliokata ticketi alisafiri kwenda kwao (sikujua kwa nn) hivyo ikawepo ticket moja free, jamaa akanistua akasema nitaweza u-ninja anipitie camp pale twende kwenye show, nikamwambia kama ni kumuona Jay Z na Kanye hata nifukuzwe lkn nikawaone kwanza. Tukacheza bonge la mission nikachomoka camp kweli tukaelekea Paris bercy arena,

Mzee kilichotokea kule ndo nikaamini hawa viumbe (kanye west na Jay Z) sio watu wa kawaida. Ilipigwa show baba, show ikaisha. Kisha Nikasikia 'Jay Z doesn't want to leave, Kanye too, Fans too....' Ikaanza encore sasa. Pale ilipigwa ngoma ya 'Niggas in Paris' live mara 11 mfululizo bila kupoteza vibe, uwanja mzima watu walikua wamechizi na hawachoki, yaani ni kama vile show ilikua imeanza upya. Kwa wale msiojua encore, yaan show ikipigwa ikaisha mkafunga ratiba, kuna ile situation inatokea fans wanataka ngoma iendelee, so kinawashwa tena.

Nadhani hii show ndo walitengenezea official video ya huo wimbo.

Ilikua ni mwendo tu wa "..Ball so hard, motherfvckers wanna fine me..."
Kwahiyo mwanangu ulikula vibe la kufa mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanye west na Ye hao watu sio Poa Aisee kizazi cha Rap ndo kinaondoka hivyo tunaachiwa hawa wakina Lil uzi vert upuuzi mtupu
Kina Lil Uzi kwa kizazi cha sasa ni wakongwe kuna hizi kenge ukizisikia unaweza kutapika

maxresdefault (1).jpg
 
Doctors say I'm the illest
'Cause I'm suffering from realness
Got my niggas in Paris and they going gorillas, huh?


I don't even know what that means
No one knows what it means, but it's provocative
No, it's not, it's gross. Gets the people going


Kuna beat inafuatia hapo mzee, sio poa kabisa.
" We're gonna skate to one song and one song only ..."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom