Tunajua, lakini ni udhaifu wa wanawake tu, tuliumbwa hivo.hv mabint hamjijui kama mnatabia isiyo yakawaida(wengi wenu)......
Yeye ameona kukataa kupenda tena ndio anakomesha watu.Ufinyu wa mawazo kufikiria kujiua kwa ajili ya mapenzi..tna kwa mtu ambae ht hajui thaman yako. Piga moyo konde..safari bdo ndefu yenye miiba na mabonde..ucwaze kujiua ht km amekusaliti..get yourself time to get busy and concentrate on your life achievement.
Yeye ameona kukataa kupenda tena ndio anakomesha watu.
Nimejipa kazi ya kumbembeleza hapa. hahahahaha
Unaenda wapi nikufate? maana naona jamaa hata hanisomi!Mwali.....endelea kumbembeleza mi ntarudi baadae!
Unaenda wapi nikufate? maana naona jamaa hata hanisomi!
sio leo wala kesho
itabid niendelee kuwepo wepo kwa muda kdogo
kama ntafanya hvo basi naamin itanchukua muda
niliyempenda et kaamua kunisalit kwa RAFIKI YANGU wakaribu kabisa kisa VIJISENT
naomben ushauri nihame mji au nijiue 2 ila sipend hata kidogo kuwaona hawa mafedhuri