Sitopenda tena

Rjohn

JF-Expert Member
Feb 28, 2012
613
128
kama ntafanya hvo basi naamin itanchukua muda
niliyempenda et kaamua kunisalit kwa RAFIKI YANGU wakaribu kabisa kisa VIJISENT
naomben ushauri nihame mji au nijiue 2 ila sipend hata kidogo kuwaona hawa mafedhuri
 
hv mabint hamjijui kama mnatabia isiyo yakawaida(wengi wenu)......
 
Ufinyu wa mawazo kufikiria kujiua kwa ajili ya mapenzi..tna kwa mtu ambae ht hajui thaman yako. Piga moyo konde..safari bdo ndefu yenye miiba na mabonde..ucwaze kujiua ht km amekusaliti..get yourself time to get busy and concentrate on your life achievement.
 
Ufinyu wa mawazo kufikiria kujiua kwa ajili ya mapenzi..tna kwa mtu ambae ht hajui thaman yako. Piga moyo konde..safari bdo ndefu yenye miiba na mabonde..ucwaze kujiua ht km amekusaliti..get yourself time to get busy and concentrate on your life achievement.
Yeye ameona kukataa kupenda tena ndio anakomesha watu.
Nimejipa kazi ya kumbembeleza hapa. hahahahaha
 
Ndg, kumbuka dhima ya Mungu kukuumba!Amin kisicho riziki hakiliki!Amini pia, unaweza mpata mpz m'mke mwngne ukampenda akakpenda ukasahau yte,ucjiue kk japo najua umeumia ndo mfumo wa lyf!Stil zere's anaza 2nd n golden chance 4 u,1 day 2 God=1000 n vicvesa!
 
nimewaelewa wajumbe hata msimamo wangu umetoweka ghafla tatzo nilimzoea mno hata masaa matatu hayapt bla mi na yeye kuonana/kuwasiliana sasa nifanyeje nimsahau kabisa
 
Safari moja huanzisha nyingine, tambua mapenzi ya siku hizi ndivyo yalivyo yanaongozwa na tamaa za mwili na vitu. Tafuta mwingine lakini ukumbuke kilichokupata kukichukulia kama experience
 
sio leo wala kesho
itabid niendelee kuwepo wepo kwa muda kdogo
 
Jiue .. hakikisha unabana mlango kwa ndani ili usisaidiwe ..

Maana hata ukihama mji bado utawasikia ..

Umetupa option mbili za kukuchagulia.
Na mimi nimekuchagulia moja kati ya hizo mbili
 
sio leo wala kesho
itabid niendelee kuwepo wepo kwa muda kdogo

Wala usijali mpendwa wangu! Hayo yote ni mapito tu na ni njia halisi ya kuingia upenzini.......jipe muda, na uipe akili yako nafasi ya kutafakari vya muhimu zaidi! Usijiapize saana kwa jambo ambalo sio issue kwa uafueni wako kwa sasa.....just accept the reality and then move on, pole mwaya!!!! Hata kama umeumia vipi my dear, maisha lazima yaendelee!! May all the best be with you....
 
kama ntafanya hvo basi naamin itanchukua muda
niliyempenda et kaamua kunisalit kwa RAFIKI YANGU wakaribu kabisa kisa VIJISENT
naomben ushauri nihame mji au nijiue 2 ila sipend hata kidogo kuwaona hawa mafedhuri

bado upo au umededi? Kama umededi kawasalimie wenzio ambao hawajui maana ya mapenzi. Kama bado upo nipm nikushauri
 
Back
Top Bottom