Story yko imenikumbusha cku niliyomfumania girlfriend wngu anacheet na mwanajeshi, Ss ktk maongezi yao kumbe yle mjeda ni kuruta hana hela ndio kwanza ameletwa DSM so jamaa akamwambia girlfriend wngu amsaidie pesa ya kujikim, kama laki6 hv...msichana bla kupepesa macho akamwambia mjeda poa ntakupa asubuhi...Akaingia chumbani akanitumia message eti bby nimepata tatizo my aunt kazidiwa ameletwa hpa home, anatakiwa akafanyiwe operation haraka sana muhimbili pls nisaidie laki 7, kumbe Mzee npo dirishani naona kila kitu nikacheka2 kimoyo moyo nikasema dah...kweli kuna Majini watu,yani mgonjwa ndio hyo mwanajeshi?nikamwambia sawa bby ntakupa asubuhi...ss nikawa najiuliza yni umecheet bdo tena unataka nimhudumie na bwana ako?Alafu moyoni unasema unanipenda? Kesho yke nikampa ile pesa then jioni nikamwambia aje kwangu.. alivyokuja kama kawaida nikawa normal tukapiga msosi, then imefika mida ya kulala mdada anajidai ypo kwenye mood, nikamwambia sorry Leo cjickii kulala na ww,akauliza why?nikamwambia coz umenicheet na mjeda,pili hata ile pesa niliyokupa umehonga hakuna cha aunty wala nn mm nilikua najua kila kitu but nimekupa ili kukuonyesha jinsi gn Nna "PURE HEART"kwahyo Mama kila la kheri....Mpaka Leo hyu Dada ananililia