Wanaishaje wakati wewe upoNakumbuka miaka ya nyuma kuna mwanamke nilimpenda sana ila nadhani haikuwa hivyo kwakwe. .siku moja kanipigia simu kama kawaida yangu nkapokea haraka bila kuchelewa akanambia anashida kama ya tsh 450,000/= hyo hela sikuwa nayo muda huo ila nikamuahidi ntampa baada ya siku mbili kesho yake nkarudi home mafinga (iringa) nkaenda nkacheki shamba la miti ambayo ipo tayari nikauza....
nliporud dsm nkampa 550000 extra ya kiasi alichoomba...alikaa kama wiki hvi bila kuntafuta nkimtumia txt hajibu na simu hapokei nkajisemea moyoni "haina shida " baada ya wiki kupita nkaambiwa mwanamke alimpeleka jamaa mwingine Zanzibar na show nzima kagharimia mwanamke![]()
Haikuwa tabu kumsamehe nkijisemea pesa sio kitu ila nashukuru yeye ni mzima
Siku nyingine akaomba nimsaidie tsh 300,000/= skuwa na swali nilimpa tu hakuntafuta kama siku tatu hivi wakati sio kawaida yake. ..mwisho nkaona uvumilivu utanshinda nkaomba poo maaana nshagharimia saana pengeni ningeweza hata kujaza maduka ya kutosha afu haridhiki
Hivi wanawake wa aina hii kwa hapa dsm wataisha kweli maana ni shiiida kwa usawa huu mtafanya watu turudi kijijini Maana tutafirisika![]()
sishangai kwasababu hzo offer ulizitoa awamu iliyopita
awamu hii kaka yangu unahonga sh ngpsishangai kwasababu hzo offer ulizitoa awamu iliyopita
demu wangu mimi mambo vipi?awamu hii kaka yangu unahonga sh ngp
Shunie changamkia fursa, jamaa anamwaga pesa huyo na wala hajali..hutaki kuhongwa wwawamu hii kaka yangu unahonga sh ngp

hapana aisee sizitaki acha wachangamkie wengineShunie changamkia fursa, jamaa anamwaga pesa huyo na wala hajali..hutaki kuhongwa ww![]()
Ha?hapana aisee sizitaki acha wachangamkie wengine
shunie mimi ndio nimeandika, fakalava ananihonga hela yoyte ninayomwambia! halaf supermarket ngoja nikwambie kitu watu wanaojinadi wana hela au wanahonga hamna kitu ni maneno tu ata usafiri haulipiwi.Ha?![]()
![]()
![]()
hivi ni wewe kweli shunie, shunie huyu huyu, shunie umeandikiwa hii post.
Poa lakini, fakalava anakuhonga kama shs ngapi
Kama mimi tu, maneno mengi kumbe dume surualishunie mimi ndio nimeandika, fakalava ananihonga hela yoyte ninayomwambia! halaf supermarket ngoja nikwambie kitu watu wanaojinadi wana hela au wanahonga hamna kitu ni maneno tu ata usafiri haulipiwi.

ha ha ha ndio dume surualiKama mimi tu, maneno mengi kumbe dume suruali![]()
we kibokoAisee mangi inamaana ulikuwa unampa bure..!
Mi hata kama ni mpenzi wangu nikikupa hela maana yake nakukopesha
Utanipa tu hela bora tuachane lakini hela yangu unipe
Nilitaka kuachana na mpenzi wangu kisa hela
Alinikopa kumdai ikawa ananizungusha aisee nilimganda
Mpaka akanipa halafu akajidai kunikasirikia na mimi nikanyamaza kimya
Mwisho wa siku kakarudi tena
