Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,124
- 201,141
WTF
Njooo tu sahivi hapana pesa ya kuchezea usawa huu wa maguwanawake wa hivyo hawawezi isha wakikutana na mwanaume kama ww wa kujifanya jack pemba, by the way tangazo lako tumelielewa jiandae na pm kujaa
Bro cjawahi kufikiria kutongoza mwanamke kwenye mitandao na sitokuja kufanya hivoShunie changamkia fursa, jamaa anamwaga pesa huyo na wala hajali..hutaki kuhongwa ww
Bro cjawahi kufikiria kutongoza mwanamke kwenye mitandao na sitokuja kufanya hivoShunie changamkia fursa, jamaa anamwaga pesa huyo na wala hajali..hutaki kuhongwa ww
Shunie sijaandika hii kitu ili ntafute mwanamke la hasha ila nmeandika kitu kilichontokea sijaongeza chumvi zaid zaidi nimepunguza .......mwisho cjawahi kuamini kama kwenye mitandao kuna wanawakeshunie mimi ndio nimeandika, fakalava ananihonga hela yoyte ninayomwambia! halaf supermarket ngoja nikwambie kitu watu wanaojinadi wana hela au wanahonga hamna kitu ni maneno tu ata usafiri haulipiwi.
Ok poa poa mkuuBro cjawahi kufikiria kutongoza mwanamke kwenye mitandao na sitokuja kufanya hivo
Bro cjawahi kufikiria kutongoza mwanamke kwenye mitandao na sitokuja kufanya hivo
Ok poa poa mkuu
Ikitokea umempata mwanamke kutoka kwenye mtandao utachukua hatua gani?
ni kweli ni mazombiShunie sijaandika hii kitu ili ntafute mwanamke la hasha ila nmeandika kitu kilichontokea sijaongeza chumvi zaid zaidi nimepunguza .......mwisho cjawahi kuamini kama kwenye mitandao kuna wanawake
Kaka wa humu nawaogopa naskia wengine sio watu sijui kweli? ??
Broo sijaandika post kutafuta mwanamke kwenye mitandao ila nimeandika ishu ilontokea....siwezi na sitokuja kutafuta mwanamke kwenye mtandaoShunie changamkia fursa, jamaa anamwaga pesa huyo na wala hajali..hutaki kuhongwa ww
Wewe Upo wao waende wapi bloodyful Mtumie zingine ucchoke
Mfano ikitokea demu kakupenda yeye mwenyewe kutoka na thread zako nzuri na post zako halafu akahitaji ukutane nae, utachukua hatua gani mkuuBroo sijaandika post kutafuta mwanamke kwenye mitandao ila nimeandika ishu ilontokea....siwezi na sitokuja kutafuta mwanamke kwenye mtandao
Aiseee tena naskia sio mazombi ni mazomboo yanakula nyama hadi mifupani kweli ni mazombi
yakimaliza kula mifupa yako yanamalizia kivuli chakoAiseee tena naskia sio mazombi ni mazomboo yanakula nyama hadi mifupa
Mchumba wangushunie mimi ndio nimeandika, fakalava ananihonga hela yoyte ninayomwambia! halaf supermarket ngoja nikwambie kitu watu wanaojinadi wana hela au wanahonga hamna kitu ni maneno tu ata usafiri haulipiwi.
sitakiiiii, unikomeeee!Mchumba wangu
demu wangu mimi mambo vipi?
kukupenda wewe siachi ,oooh siachi (in Walter chilambo voice)sitakiiiii, unikomeeee!
Shunista ngoja nikuulize kitu , hivi unayemkataa unamjua ?sitakiiiii, unikomeeee!
na ww unaemtaka unamjuakukupenda wewe siachi ,oooh siachi (in Walter chilambo voice)
Shunista ngoja nikuulize kitu , hivi unayemkataa unamjua ?
Ndio mke wangu shunista usipoteze bahati oooh utajuta we ngoja nibadili mawazona ww unaemtaka unamjua
achana na mm kabisaNdio mke wangu shunista usipoteze bahati oooh utajuta we ngoja nibadili mawazo