watu wanapigana vikumbo na vi-modem..mkongo sijui kaa upo na una fanya nini..tough to tell.teh teh jaman c niliskia kuna mkonga?cjui umeanza kazi? Au ndo zile bla bla zetu, but kama kuna seeders wengi hata kama pole pole tunasaidiana ivo ivo
huyo mtu wa ku seed torrent za kitanzania yuko wapi?? unatakiwa uwe na high uploading speed na komputa yako uiwache wazi muda mwengi wengine wakusaidie.
shida yako movie za kiswahili au muziki??
Torrent hakuna ila link ipo bofya hapa na search mziki unaotaka mimi nimepakua miziki kibao http://www.muziki.net/browse/a
na movie za kibongo jee unapakua kutoka website gani::?
just curiosity, sina upenzi na movie za hapa home, i was thinking siku moja kuanzisha that kind of web
Hebu tupe ujuzi jinsi ya kudownload mkuu Kibirizi
Download software moja inaitwa internert download manager itakuwezesha kudownload hizo nyimbo. Bofya hapa fuatilia post #7 ametoa chini link ya kudowload na maelezo https://www.jamiiforums.com/tech-ga...um/283151-msaada-wa-serial-number-za-idm.html
Usifanikiwa let me know.