Joseph Ludovick
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 382
- 506
- Thread starter
- #21
Alipokufa mbwana masoud kule igunga, ni mimi nilipeleka sh laki moja na 80 elfu.zilichangwa na wanachadema wa bukoba. nyumbani kwao mburahati hakuna kiongozi aliyekuwepo wa chadema isipokuwa lwakatare aliyekwenda binafsi kuwasilisha zile hela zilizochangwa bukoba ambazo mimi ndo nilipewa kuzipeleka.
mbwana masoud alijitolea kwenda igunga kuwa wakala akitokea dar. hakuna msaada wa chadema zaidi ya 180,000.
juzi nimesikia akiorodheshwa kati ya mashujaa.
mbwana masoud alijitolea kwenda igunga kuwa wakala akitokea dar. hakuna msaada wa chadema zaidi ya 180,000.
juzi nimesikia akiorodheshwa kati ya mashujaa.