Monyiaichi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 1,826
- 508
Huyu kaka hana aibu kama mchawi, au anafikiri watu wameshasahau aliyoyafanya kwa Kibanda na Lwakatare?
Kamanda upo?? gongo mbaya nenda ukivunjwa miguu tutakuja kusalimia MOITokea umemtoboa kibanda macho na kushirikiana na Gaidi Mwigulu kumbambikia lekwatare kesi naona hizo laana zimekufanya ukawa kama mwehu na bado utaanza kuokota makopo muda si mrefu pambaf mkubwa.
Mwl Ludovick si uliacha siasa inakuaje bado unaendelea na siasa unatafuta sehemu ya kutokea kugombea Ubunge!
Hivi kwa waliofukuzwa kwenye uanachama wa chadema huyu alisahaulika??maana anaongea as if ni chadema.
Sasa mimi nifukuzwe kwa kosa gani mkuu?
Natambua kuwa maandano ni haki inayominywa na katiba ya sasa hata hivyo katiba mpya haijapatikana. Kama mwana CHADEMA na mwanaharakati,kimsingi naunga mkono dhana ya maandamano hata yasiyo na kibali kama nia na sababu za viongozi na waandamanaji ni moja.
Ilivyo leo nia na sababu za viongozi wa CHADEMA siyo moja na sisi wanachama.
Maoni yangu ni kuwa viongozi wanataka kujenga mgogoro ili wapate fursa ya majadiliano na serikali baada ya watu kuuawa,ama kuumizwa.
Napinga na siwezi kushiriki maandamano haya pia kwa sababu ya tabia za CHADEMA.
1: Inasherehekea vifo na mazishi,na kutelekeza familia za marehemu
2: Majeruhi hutelekezwa na chama
3: Watakaokamatwa,kuwekwa ndani na kushtakiwa,watasota wenyewe na kutiwa gerezani bila msaada wa chama
4: Treatment ya polisi na magereza,ni tofauti.Wanachama hunyanyaswa,wakati viongozi huheshimiwa, hivyo mkikamatwa na Lissu mfano, wakati nyie mnagongwa virungu yeye hagongwi.
5: Sababu ya maandamano haya siyo genuine kwa hiyo maandamano haya lengo na sababu zake siyo valid.
Tupo hapa bar na dada yako tunakunywa gongoKamanda upo?? gongo mbaya nenda ukivunjwa miguu tutakuja kusalimia MOI
Pamoja sana Mkuu Joseph Ludovick