Sitashiriki maandamano CHADEMA

Sitashiriki maandamano CHADEMA

Kamanda upo?? gongo mbaya nenda ukivunjwa miguu tutakuja kusalimia MOI

Hivi wewe kwa ujinga wako unadhani hao unaowaabudu wanaovunja miguu ya wengine, wao hawana ya kwao ya kuvunjwa?
 
Fear-Quotes-66.jpg
 
Huyu ndie mwana chadema anetumia akili yake, wengine wote vichwa vyao wamemkabidhi Mbowe.
 
Natambua kuwa maandano ni haki inayominywa na katiba ya sasa hata hivyo katiba mpya haijapatikana. Kama mwana CHADEMA na mwanaharakati,kimsingi naunga mkono dhana ya maandamano hata yasiyo na kibali kama nia na sababu za viongozi na waandamanaji ni moja.

Ilivyo leo nia na sababu za viongozi wa CHADEMA siyo moja na sisi wanachama.

Maoni yangu ni kuwa viongozi wanataka kujenga mgogoro ili wapate fursa ya majadiliano na serikali baada ya watu kuuawa,ama kuumizwa.

Napinga na siwezi kushiriki maandamano haya pia kwa sababu ya tabia za CHADEMA.

1: Inasherehekea vifo na mazishi,na kutelekeza familia za marehemu
2: Majeruhi hutelekezwa na chama
3: Watakaokamatwa,kuwekwa ndani na kushtakiwa,watasota wenyewe na kutiwa gerezani bila msaada wa chama
4: Treatment ya polisi na magereza,ni tofauti.Wanachama hunyanyaswa,wakati viongozi huheshimiwa, hivyo mkikamatwa na Lissu mfano, wakati nyie mnagongwa virungu yeye hagongwi.
5: Sababu ya maandamano haya siyo genuine kwa hiyo maandamano haya lengo na sababu zake siyo valid.

At least mmeanza kujitambua na hii ndo faida ya akili ndogo kuongoza akili kubwa.
 
Mimi nitashiriki endapo ,Mbowe na mke wake na wanae watakuwa msitari wa mbele
 
Afadhali kweli Mungu yupo pamoja na CHADEMA maana ungeshiriki wewe kwenye maandamano lazima yangeusishwa na UGAIDI.

Hakuna Mungu asiyetakia AMANI nchi na watu wake , sidhani kama CHADEMA Mungu anawataka hata kuwasikia maana wamewatia vijana ukilema na wengine kuuawa na kuwatelekeza kwa kuwashawishim ili wapinge serkali na sera zao za kuwa nchi isitawalike kabisa .

Hivi wenyewe wakiingia madarakani watawazuia wasipinge sheria au wasiandamane na nchi isitawalike sasa ujue ni sera za kijinga ndizo zinawatawala.
 
Natambua kuwa maandano ni haki inayominywa na katiba ya sasa hata hivyo katiba mpya haijapatikana. Kama mwana CHADEMA na mwanaharakati,kimsingi naunga mkono dhana ya maandamano hata yasiyo na kibali kama nia na sababu za viongozi na waandamanaji ni moja.

Ilivyo leo nia na sababu za viongozi wa CHADEMA siyo moja na sisi wanachama.

Maoni yangu ni kuwa viongozi wanataka kujenga mgogoro ili wapate fursa ya majadiliano na serikali baada ya watu kuuawa,ama kuumizwa.

Napinga na siwezi kushiriki maandamano haya pia kwa sababu ya tabia za CHADEMA.

1: Inasherehekea vifo na mazishi,na kutelekeza familia za marehemu
2: Majeruhi hutelekezwa na chama
3: Watakaokamatwa,kuwekwa ndani na kushtakiwa,watasota wenyewe na kutiwa gerezani bila msaada wa chama
4: Treatment ya polisi na magereza,ni tofauti.Wanachama hunyanyaswa,wakati viongozi huheshimiwa, hivyo mkikamatwa na Lissu mfano, wakati nyie mnagongwa virungu yeye hagongwi.
5: Sababu ya maandamano haya siyo genuine kwa hiyo maandamano haya lengo na sababu zake siyo valid.

wewe ni nani kusema haya...
 
Hivi huyu jamaa bado ni mwanachama wa CHADEMA? kwa aliyotufanyia kwa nini hajafukuzwa?.
 
Natambua kuwa maandano ni haki inayominywa na katiba ya sasa hata hivyo katiba mpya haijapatikana. Kama mwana CHADEMA na mwanaharakati,kimsingi naunga mkono dhana ya maandamano hata yasiyo na kibali kama nia na sababu za viongozi na waandamanaji ni moja.

Ilivyo leo nia na sababu za viongozi wa CHADEMA siyo moja na sisi wanachama.

Maoni yangu ni kuwa viongozi wanataka kujenga mgogoro ili wapate fursa ya majadiliano na serikali baada ya watu kuuawa,ama kuumizwa.

Napinga na siwezi kushiriki maandamano haya pia kwa sababu ya tabia za CHADEMA.

1: Inasherehekea vifo na mazishi,na kutelekeza familia za marehemu
2: Majeruhi hutelekezwa na chama
3: Watakaokamatwa,kuwekwa ndani na kushtakiwa,watasota wenyewe na kutiwa gerezani bila msaada wa chama
4: Treatment ya polisi na magereza,ni tofauti.Wanachama hunyanyaswa,wakati viongozi huheshimiwa, hivyo mkikamatwa na Lissu mfano, wakati nyie mnagongwa virungu yeye hagongwi.
5: Sababu ya maandamano haya siyo genuine kwa hiyo maandamano haya lengo na sababu zake siyo valid.

hahaha
kiona mbali,umeona kwa jicho la tatu na mwenye masikio asikie na mwenye macho hutaambiwa soma kilichoandikwa
 
Natambua kuwa maandano ni haki inayominywa na katiba ya sasa hata hivyo katiba mpya haijapatikana. Kama mwana CHADEMA na mwanaharakati,kimsingi naunga mkono dhana ya maandamano hata yasiyo na kibali kama nia na sababu za viongozi na waandamanaji ni moja.

Ilivyo leo nia na sababu za viongozi wa CHADEMA siyo moja na sisi wanachama.

Maoni yangu ni kuwa viongozi wanataka kujenga mgogoro ili wapate fursa ya majadiliano na serikali baada ya watu kuuawa,ama kuumizwa.

Napinga na siwezi kushiriki maandamano haya pia kwa sababu ya tabia za CHADEMA.

1: Inasherehekea vifo na mazishi,na kutelekeza familia za marehemu
2: Majeruhi hutelekezwa na chama
3: Watakaokamatwa,kuwekwa ndani na kushtakiwa,watasota wenyewe na kutiwa gerezani bila msaada wa chama
4: Treatment ya polisi na magereza,ni tofauti.Wanachama hunyanyaswa,wakati viongozi huheshimiwa, hivyo mkikamatwa na Lissu mfano, wakati nyie mnagongwa virungu yeye hagongwi.
5: Sababu ya maandamano haya siyo genuine kwa hiyo maandamano haya lengo na sababu zake siyo valid.

CHADEMA hatuna mwanachama kama wewe.Go to hell.
 
Kuna wimbo mmoja unaitwa Kuachwa, sijui ni wa Christian Bella ka sijakosea...

"Kuachwa kuachwaaa....kuachwa ni shughuli pevu...aaaagh mbaya zaiiidi kwa yule uliempenda....yeye ananenepa wewe unakondaaa....kwa mawazooo kwa mawazo..."

Huu ndi ugonjwa mkubwa uanaomsumbua Ludo na Shonza...KUACHWA NA ULIEMPENDA
 
Natambua kuwa maandano ni haki inayominywa na katiba ya sasa hata hivyo katiba mpya haijapatikana. Kama mwana CHADEMA na mwanaharakati,kimsingi naunga mkono dhana ya maandamano hata yasiyo na kibali kama nia na sababu za viongozi na waandamanaji ni moja.

Ilivyo leo nia na sababu za viongozi wa CHADEMA siyo moja na sisi wanachama.

Maoni yangu ni kuwa viongozi wanataka kujenga mgogoro ili wapate fursa ya majadiliano na serikali baada ya watu kuuawa,ama kuumizwa.

Napinga na siwezi kushiriki maandamano haya pia kwa sababu ya tabia za CHADEMA.

1: Inasherehekea vifo na mazishi,na kutelekeza familia za marehemu
2: Majeruhi hutelekezwa na chama
3: Watakaokamatwa,kuwekwa ndani na kushtakiwa,watasota wenyewe na kutiwa gerezani bila msaada wa chama
4: Treatment ya polisi na magereza,ni tofauti.Wanachama hunyanyaswa,wakati viongozi huheshimiwa, hivyo mkikamatwa na Lissu mfano, wakati nyie mnagongwa virungu yeye hagongwi.
5: Sababu ya maandamano haya siyo genuine kwa hiyo maandamano haya lengo na sababu zake siyo valid.
Ningeshangaa kama mtu mwenye sifa zote za mnafiki ungeshiriki maandamano ya watu timamu wa nia, kauli na vitendo. Wewe subiri maandamano ya wanafiki ndio yatakufaa.
 
Natambua kuwa maandano ni haki inayominywa na katiba ya sasa hata hivyo katiba mpya haijapatikana. Kama mwana CHADEMA na mwanaharakati,kimsingi naunga mkono dhana ya maandamano hata yasiyo na kibali kama nia na sababu za viongozi na waandamanaji ni moja.

Ilivyo leo nia na sababu za viongozi wa CHADEMA siyo moja na sisi wanachama.

Maoni yangu ni kuwa viongozi wanataka kujenga mgogoro ili wapate fursa ya majadiliano na serikali baada ya watu kuuawa,ama kuumizwa.

Napinga na siwezi kushiriki maandamano haya pia kwa sababu ya tabia za CHADEMA.

1: Inasherehekea vifo na mazishi,na kutelekeza familia za marehemu
2: Majeruhi hutelekezwa na chama
3: Watakaokamatwa,kuwekwa ndani na kushtakiwa,watasota wenyewe na kutiwa gerezani bila msaada wa chama
4: Treatment ya polisi na magereza,ni tofauti.Wanachama hunyanyaswa,wakati viongozi huheshimiwa, hivyo mkikamatwa na Lissu mfano, wakati nyie mnagongwa virungu yeye hagongwi.
5: Sababu ya maandamano haya siyo genuine kwa hiyo maandamano haya lengo na sababu zake siyo valid.
halafu bado unajiita mwanachadema?
si ungeachana tu na hicho chama au unafiki tu unaoufanya hapa.

sasa sisi tusio na chama, mtu kama wewe tukuelewe vp?
 
wajinga pekee ndiyo watakaoshiriki wala siyo wenye akili timamu.
 
halafu bado unajiita mwanachadema?
si ungeachana tu na hicho chama au unafiki tu unaoufanya hapa.

sasa sisi tusio na chama, mtu kama wewe tukuelewe vp?
ukiwa na akili utamwelewa tu Ludovick lakini ukiwa hunaakili huwezi kumwelewa kabisa.
 
Back
Top Bottom