Sitashiriki maandamano CHADEMA

Sitashiriki maandamano CHADEMA

Natambua kuwa maandano ni haki inayominywa na katiba ya sasa hata hivyo katiba mpya haijapatikana. Kama mwana CHADEMA na mwanaharakati,kimsingi naunga mkono dhana ya maandamano hata yasiyo na kibali kama nia na sababu za viongozi na waandamanaji ni moja.

Ilivyo leo nia na sababu za viongozi wa CHADEMA siyo moja na sisi wanachama.

Maoni yangu ni kuwa viongozi wanataka kujenga mgogoro ili wapate fursa ya majadiliano na serikali baada ya watu kuuawa,ama kuumizwa.

Napinga na siwezi kushiriki maandamano haya pia kwa sababu ya tabia za CHADEMA.

1: Inasherehekea vifo na mazishi,na kutelekeza familia za marehemu
2: Majeruhi hutelekezwa na chama
3: Watakaokamatwa,kuwekwa ndani na kushtakiwa,watasota wenyewe na kutiwa gerezani bila msaada wa chama
4: Treatment ya polisi na magereza,ni tofauti.Wanachama hunyanyaswa,wakati viongozi huheshimiwa, hivyo mkikamatwa na Lissu mfano, wakati nyie mnagongwa virungu yeye hagongwi.
5: Sababu ya maandamano haya siyo genuine kwa hiyo maandamano haya lengo na sababu zake siyo valid.

wewe naamini kabisa huwezi kuwa mhaya.mhaya hana usaliti kwa wenzake na pia anajuwa nini anaongea mbele ya jumuhia.katelwe enkuba.
 
wewe naamini kabisa huwezi kuwa mhaya.mhaya hana usaliti kwa wenzake na pia anajuwa nini anaongea mbele ya jumuhia.katelwe enkuba.

Huyo ndo mhaya original... anafikiri kabla ya kutenda. Hakuna mhaya mwenye akili mbovu kama wale mapimbi wa arachuga na mererani muda wote viroba na bange.... msukule mkubwa weye
 
Ludovick, wewe huko CHADEMA unafanya nini? Kwani na wewe ni mwana CHADEMA? Au kuna mtu chadema kakuomba maoni yako?

Wewe ulipokuwa ndani, ulikwenda kwa madhumuni ya kukiua CHADEMA, kwa nguvu ya ccm. Sasa kwa nini unataka CDM wakutetee wakati ulikuwa mtumishi wa ccm? Usijitie wehu.

Achana na CDM kwa sababu unayoyatafuta huyawezi. Songa mbele na ccm yako.

ivi huyu bwana ludo. sini [act] au kule kama katibu wao alivyosema ruksa kuwa na kadi 2?
 
Mimi ninatafuta namba yako ya simu ya mkononi maana nakudai na deni limekuwa kubwa sana kwasababu ya riba.
 
Huyo ndo mhaya original... anafikiri kabla ya kutenda. Hakuna mhaya mwenye akili mbovu kama wale mapimbi wa arachuga na mererani muda wote viroba na bange.... msukule mkubwa weye

ghorofa yako imeezekwa kwa makuti au nyasi.poleee
 
Hii nchi kwann hairuhusu maandamano kama watu hawafanyi fujo? Badala ya kulinda raia wao wanapiga au katiba ya nchi hii haijataja maandamano kama ni haki ya watu?
 
Natambua kuwa maandano ni haki inayominywa na katiba ya sasa hata hivyo katiba mpya haijapatikana. Kama mwana CHADEMA na mwanaharakati,kimsingi naunga mkono dhana ya maandamano hata yasiyo na kibali kama nia na sababu za viongozi na waandamanaji ni moja.

Ilivyo leo nia na sababu za viongozi wa CHADEMA siyo moja na sisi wanachama.

Maoni yangu ni kuwa viongozi wanataka kujenga mgogoro ili wapate fursa ya majadiliano na serikali baada ya watu kuuawa,ama kuumizwa.

Napinga na siwezi kushiriki maandamano haya pia kwa sababu ya tabia za CHADEMA.

1: Inasherehekea vifo na mazishi,na kutelekeza familia za marehemu
2: Majeruhi hutelekezwa na chama
3: Watakaokamatwa,kuwekwa ndani na kushtakiwa,watasota wenyewe na kutiwa gerezani bila msaada wa chama
4: Treatment ya polisi na magereza,ni tofauti.Wanachama hunyanyaswa,wakati viongozi huheshimiwa, hivyo mkikamatwa na Lissu mfano, wakati nyie mnagongwa virungu yeye hagongwi.
5: Sababu ya maandamano haya siyo genuine kwa hiyo maandamano haya lengo na sababu zake siyo valid.

wazimu wako mbaya sana. we ni msukule wa mtu aseee
 
Ulikula malio mabichi nini...mbona akili ndogo hivi......
 
Omuregi ni jnatu uejipachika au ni t wa huko kanda ya ziwa? Watu wa huo hwako na akili kaa hizi
Yego wasu, ebhu mbwira ko abhanu whe ndeyo bhali kutiki murekhi awe!! Sawa mkuu ebu nieleze basi jinsi akili zetu zilivyo ili tujipe ufahamu zaidi. Awe mkerebhe awe, ai ka go au uli mjita mwana wasu!! Aika mwana wa mai
 
Tokea umemtoboa kibanda macho na kushirikiana na Gaidi Mwigulu kumbambikia lekwatare kesi naona hizo laana zimekufanya ukawa kama mwehu na bado utaanza kuokota makopo muda si mrefu pambaf mkubwa.
mbona nyie pia mlimuua chacha wangwe kwa kuwa alikuwa anaulizia matumizi ya ruzuku
 

Napinga na siwezi kushiriki maandamano haya pia kwa sababu ya tabia za CHADEMA.

1: Inasherehekea vifo na mazishi,na kutelekeza familia za marehemu
2: Majeruhi hutelekezwa na chama
3: Watakaokamatwa,kuwekwa ndani na kushtakiwa,watasota wenyewe na kutiwa gerezani bila msaada wa chama
4: Treatment ya polisi na magereza,ni tofauti.Wanachama hunyanyaswa,wakati viongozi huheshimiwa, hivyo mkikamatwa na Lissu mfano, wakati nyie mnagongwa virungu yeye hagongwi.
5: Sababu ya maandamano haya siyo genuine kwa hiyo maandamano haya lengo na sababu zake siyo valid.

Unaotaka wasiandamwe ndio hao wanaofanya unequal treatment! Any way mimi sio mwanasiasa, nidokeze scientific procedure ya kufanya ili maoni ya katiba ya wananchi yaheshimiwe mbali na maandamano.
 
Back
Top Bottom