Sitapost ujinga tena JamiiForums

Sitapost ujinga tena JamiiForums

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
1,637
Reaction score
463
Baada ya kuona PM zimenoga kwa maongezi murua ya kistaarabu hasa na watu wenye reputation zao hum JF, nimeamua kutokuwa napost utumbo tena ili kumantain relationship. Hasa ukizingatia wanaopewa papuchi humu ni wale wanaocomment kistaraabu nakuunga mkono hoja bila kupinga!
 
Baada ya kuona PM zimenoga kwa maongezi murua ya kistaarabu hasa na watu wenye reputation zao hum JF, nimeamua kutokuwa napost utumbo tena ili kumantain relationship. Hasa ukizingatia wanaopewa papuchi humu ni wale wanaocomment kistaraabu nakuunga mkono hoja bila kupinga!
Sidhani kama iyo bold yaendana na heading yako. By the way how sure
you are watu wanapeana hizi mambo humu?
 
Kumbe Madada Humu Mnatoa Papuchi Kwa Wastaarabu Sasa Mie Nataka Kujua Mstaarabu Anajulikana Vipi Ikiwa Hata Haujawai Kukaa Naye
 
Baada ya kuona PM zimenoga kwa maongezi murua ya kistaarabu hasa na watu wenye reputation zao hum JF, nimeamua kutokuwa napost utumbo tena ili kumantain relationship. Hasa ukizingatia wanaopewa papuchi humu ni wale wanaocomment kistaraabu nakuunga mkono hoja bila kupinga!

Umeamua vyema mkuu,,,, japo naona bado kwani majibu yako hayaridhishi,,,,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom