MhhhhEndelea tu mkuu,Maana radha ile ile. Tofauti ni kujihakikishia magonjwa tu,kwa madada poa ni 100%
kama wewe ambavo utavobadilishwa fikra zako za kuiamini pombe na madada poa ilivo ngumu kukubadilisha umjue Mungu.Hapana aisee! Wale utatumia nguvu nyingi sana kumbadilisha na tabia yake.
Una hofu ya Mungu?kama wewe ambavo utavobadilishwa fikra zako za kuiamini pombe na madada poa ilivo ngumu kukubadilisha umjue Mungu.
Mi nimeku shauri una guna!!!Mhhhh
Bora hata ungenishauri nije kwakoMi nimeku shauri una guna!!!
HahahahChagua dada poa mmoja oa acha kupoteza time
Hata nami nimeona kama exageration fulani. Inamaana hiyo ndio shughuli yake pekee afanyayo?!!!!Mkuu nipe maelezo kidgo hao madada Poa kumi kwa siku imekaaje hii
Okay ingawa sipendi uwe unachangia nyuzi zangu sema tu basi.Hata nami nimeona kama exageration fulani. Inamaana hiyo ndio shughuli yake pekee afanyayo?!!!!
Kama ni hivyo basi ana muda mwingi sana wa kupoteza.
Haya, uwe unanikumbusha.Okay ingawa sipendi uwe unachangia nyuzi zangu sema tu basi.
Hata kama ndio shughuli pekee kwa siku bado ni out of reality mkuuHata nami nimeona kama exageration fulani. Inamaana hiyo ndio shughuli yake pekee afanyayo?!!!!
Kama ni hivyo basi ana muda mwingi sana wa kupoteza.
Fresh haina Nouma!Haya, uwe unanikumbusha.
This is not how we do live brotherOkay ingawa sipendi uwe unachangia nyuzi zangu sema tu basi.
anakunywa JBKama huamini nakukaribisha uwe observer one day!
Haiingii akilini hata kidogo. Labda aseme aliitumia tu kama namba ya kuonyesha ukubwa wa tatizo ila sio namba halisi.Hata kama ndio shughuli pekee kwa siku bado ni out of reality mkuu
2logM@km
Haiingii akilini hata kidogo. Labda aseme aliitumia tu kama namba ya kuonyesha ukubwa wa tatizo ila sio namba halisi.





Fact kunywa soda kwa mangi alafu lipa mwenyeweHaiingii akilini hata kidogo. Labda aseme aliitumia tu kama namba ya kuonyesha ukubwa wa tatizo ila sio namba halisi.