Sitamani tena kuoa

Sitamani tena kuoa

Endelea nao akitokea mmoja anataka kumuweka ndani chukua weka ndani ,maisha yenyew fupi fanya kitu moyo unataka
 
Hello ladies and gentlemen,

Natumai mko poa sana humu ndani. Bila kupoteza muda ni kwamba utamu wa madada poa umesababisha sitamani tena hata kuoa wala kuwa na mpenzi katika maisha yangu yote.

Nikiwa chuoni mwaka wa tatu tulitengana na msichana ambae nilimpenda sana. Hivyo tangu hapo nikawa nakunywa pombe kwa sana na kulala na madada poa kumi kwa siku moja. Lengo langu lilikuwa ni kupooza na kutuliza nafsi yangu iliyokuwa imejawa na maumivu makali yasiyopimika.

Nilipenda sana kunywa pombe na madada poa kwa sababu niliona ndiyo suluhisho wa tatizo lililonikumba kwa wakati ule ingawa nilipewa ushauri mwingi sana lakini nilisikiliza moyo wangu unasemaje.

Hii hali ilipelekea performance yangu ya masomo ikawa mbaya sana japo nilipambana hivyo hivyo ili nisidisco katika masomo yangu.

Sababu kubwa iliyonishawishi ni kwamba niliamini kwa asilimia mia moja kuwa pombe ni mwanamke mwaminifu sana kamwe hajui kusaliti mtu. Kwa upande wa madada poa nao ilikuwa hivyo hivyo. Kila kona ya mji wa Dar es Salaam ambapo hiyo huduma hutolewa wananviumbe nana isipokuwa tu huko Temeke maana huduma zao siyo nzuri yani hawana viwango.

Ndugu zangu wana MMU natamani sana niache hii tabia ila nashindwa maana naona kisaikolojia limekuwa ni tatizo kubwa sana kwangu. Kila muda nahitaji hata kama nipo kazini nikikumbuka tu lazima nikapate dawa kidogo ndiyo mwili ukae sawa. Nimekuwa addicted sana na hawa viumbe.

Marafiki zangu wakubwa wamekuwa hao wadada ikipita siku mbili sijaenda kuwapa dawa inakuwa ni kero tupu maana muda wote meseji hazikatiki wakiniuliza niko wapi mbona nimewachunia.

Pia imefikia mpaka kuniamini hata kama siko vizuri( sina pesa) huwa wananikopesha mwisho wa mwezi nawalipa/ nawarejeshea hela yao kulingana na makubaliano yetu.

Nifanyeje ili niachane na hii tabia ndugu zangu?

Karibuni kwa ushauri wenu!
watu mna roho ngumu sana duh! sijawahi kumega wanawake dizaini hiyo na haitatokea hata kama niko tungi vipi.
 
Sasa maneno ya hivi ndo kumsaidia au kumdhiaki mtu ameshakiri mwenyewe kwa maneno yake kwamba amekua addicted na hayo mambo na hana namna ya kujinasua

Cha muhimu ni kumshauri hata kama hatoacha kabisa bas apunguze mwishowe kuacha kabisa Mara nying chronic behavior za namna hii huwa sio rahisi kuziacha kwa maramoja

Mtafute mwanasaikolojia akusaidie kuyaelewa vizuri matatizo yako na akuundie mipango endelevu ya kuacha kabisa tabia wale jamaa Mimi huwa nawatumia sana huwa wakianza kukupa ushauri unabaki na hatia ndani ya nafsi yako inayokusukuma kutokufanya jambo lile kwa Mara nyingine

Au karibu kwenye darasa linaloendelea hivi sasa humu humu jf la chakula cha ubongo la mwalimu haber Faraday Nina imani utajifunza kitu kule juu ya maisha na mifumo take

Karibu sana

Muhenga kijana

Sent using Jamii Forums mobile app
hajaja kutaka ushauri kaja kuji-boast.
 
mkuu kula maisha tu

maisha yenyewe mafupi mkuu

tembeza fimbo tu kamanda wangu
 
mkuu kula maisha tu

maisha yenyewe mafupi mkuu

tembeza fimbo tu kamanda wangu
Duuh!

Hata kama mafupi siyo ishu sana kuwa na maisha ya hivyo ndugu yangu.

Nilikuwa kwenye utumwa Mkuu
Ila kuanzia leo ninavyoandika hapa sitojihusisha tena na hiyo tabia.
 
Siyo uoga wala nini Mkuu!
Sema nahitaji niwe mbali na shetani Mkuu.

acha maneno matupu..kwani shetani ni nani mkuu? acha kuogopa usivyovijua mkuu..hakuna kitu kama shetani

kula vitu mkuu...vimeumbwa kwa ajili yetu...pombe ni kwa ajili yetu...wanawake pia ni wetu

unataka umwachie nani mkuu?
 
acha maneno matupu..kwani shetani ni nani mkuu? acha kuogopa usivyovijua mkuu..hakuna kitu kama shetani

kula vitu mkuu...vimeumbwa kwa ajili yetu...pombe ni kwa ajili yetu...wanawake pia ni wetu

unataka umwachie nani mkuu?
Mimi nimeamua kustaafu mkuu.
Ngoja niwaachie akina FREELAND!
 
Hello ladies and gentlemen,

Natumai mko poa sana humu ndani. Bila kupoteza muda ni kwamba utamu wa madada poa umesababisha sitamani tena hata kuoa wala kuwa na mpenzi katika maisha yangu yote.

Nikiwa chuoni mwaka wa tatu tulitengana na msichana ambae nilimpenda sana. Hivyo tangu hapo nikawa nakunywa pombe kwa sana na kulala na madada poa kumi kwa siku moja. Lengo langu lilikuwa ni kupooza na kutuliza nafsi yangu iliyokuwa imejawa na maumivu makali yasiyopimika.

Nilipenda sana kunywa pombe na madada poa kwa sababu niliona ndiyo suluhisho wa tatizo lililonikumba kwa wakati ule ingawa nilipewa ushauri mwingi sana lakini nilisikiliza moyo wangu unasemaje.

Hii hali ilipelekea performance yangu ya masomo ikawa mbaya sana japo nilipambana hivyo hivyo ili nisidisco katika masomo yangu.

Sababu kubwa iliyonishawishi ni kwamba niliamini kwa asilimia mia moja kuwa pombe ni mwanamke mwaminifu sana kamwe hajui kusaliti mtu. Kwa upande wa madada poa nao ilikuwa hivyo hivyo. Kila kona ya mji wa Dar es Salaam ambapo hiyo huduma hutolewa wananviumbe nana isipokuwa tu huko Temeke maana huduma zao siyo nzuri yani hawana viwango.

Ndugu zangu wana MMU natamani sana niache hii tabia ila nashindwa maana naona kisaikolojia limekuwa ni tatizo kubwa sana kwangu. Kila muda nahitaji hata kama nipo kazini nikikumbuka tu lazima nikapate dawa kidogo ndiyo mwili ukae sawa. Nimekuwa addicted sana na hawa viumbe.

Marafiki zangu wakubwa wamekuwa hao wadada ikipita siku mbili sijaenda kuwapa dawa inakuwa ni kero tupu maana muda wote meseji hazikatiki wakiniuliza niko wapi mbona nimewachunia.

Pia imefikia mpaka kuniamini hata kama siko vizuri( sina pesa) huwa wananikopesha mwisho wa mwezi nawalipa/ nawarejeshea hela yao kulingana na makubaliano yetu.

Nifanyeje ili niachane na hii tabia ndugu zangu?

Karibuni kwa ushauri wenu!
Mimi nina dawa kama Upo tayar.
Kuna jamaa yangu alikuwa kama wewe alitusumbua Sana. Sasa tulichofanya tulinunua mayai mabichi tukamvizia akiwa amelewa tukayapasua na kuyamwaga kwenye tigo yake by then alikuwa amelala mtaron kesho yake amekuja kuamka kushika nyuma kaona maji maji yanatoka hakumwambia mtu kitu cc tulishangaa tu tukiwa vibandan akija akatuambia ameamua mwenyewe kuacha pombe na machangudoa so amemrudia bwana. Ninavyoongea na wewe anamaduka mawili kkoo pale anachapa kaz mbaya na ana mke na familia na nyumba nzur tu
 
Mimi nina dawa kama Upo tayar.
Kuna jamaa yangu alikuwa kama wewe alitusumbua Sana. Sasa tulichofanya tulinunua mayai mabichi tukamvizia akiwa amelewa tukayapasua na kuyamwaga kwenye tigo yake by then alikuwa amelala mtaron kesho yake amekuja kuamka kushika nyuma kaona maji maji yanatoka hakumwambia mtu kitu cc tulishangaa tu tukiwa vibandan akija akatuambia ameamua mwenyewe kuacha pombe na machangudoa so amemrudia bwana. Ninavyoongea na wewe anamaduka mawili kkoo pale anachapa kaz mbaya na ana mke na familia na nyumba nzur tu
Ndiyo uwezo wako wa kuwaza umefikia hapo Mkuu?
 
Kaka endelea kuwatafuna tu,huenda ukapata wife miongoni mwa hao dada poa unaowatafuna na akafanikiwa kubadili maisha yako ukarudi ktk mstari
 
Dawa ya hiyo ni 1 tu

Fanya kama ifuatavyo endapo kweli unataka ushauri na ukipewa utaufanyia kazi " Amka arfajiri fanya mazoezi kimbia fanya mazoezi ya viungo na jioni ukitoka kazini fanya kama mazoezi hiyo iwe ndo ratiba yako ya kila siku kisha leta mlejesho hapa.
 
Dawa ya hiyo ni 1 tu

Fanya kama ifuatavyo endapo kweli unataka ushauri na ukipewa utaufanyia kazi " Amka arfajiri fanya mazoezi kimbia fanya mazoezi ya viungo na jioni ukitoka kazini fanya kama mazoezi hiyo iwe ndo ratiba yako ya kila siku kisha leta mlejesho hapa.
Be blessed in advance.
 
Back
Top Bottom