Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,010
Atakuwa okay.....namuombea kwa Mungu amsaidie
Atakuwa okay.....namuombea kwa Mungu amsaidie
HakikaKatubu dhambi zako uanze maisha mapya
Thanks a lot.Atakuwa okay.....namuombea kwa Mungu amsaidie
watu mna roho ngumu sana duh! sijawahi kumega wanawake dizaini hiyo na haitatokea hata kama niko tungi vipi.Hello ladies and gentlemen,
Natumai mko poa sana humu ndani. Bila kupoteza muda ni kwamba utamu wa madada poa umesababisha sitamani tena hata kuoa wala kuwa na mpenzi katika maisha yangu yote.
Nikiwa chuoni mwaka wa tatu tulitengana na msichana ambae nilimpenda sana. Hivyo tangu hapo nikawa nakunywa pombe kwa sana na kulala na madada poa kumi kwa siku moja. Lengo langu lilikuwa ni kupooza na kutuliza nafsi yangu iliyokuwa imejawa na maumivu makali yasiyopimika.
Nilipenda sana kunywa pombe na madada poa kwa sababu niliona ndiyo suluhisho wa tatizo lililonikumba kwa wakati ule ingawa nilipewa ushauri mwingi sana lakini nilisikiliza moyo wangu unasemaje.
Hii hali ilipelekea performance yangu ya masomo ikawa mbaya sana japo nilipambana hivyo hivyo ili nisidisco katika masomo yangu.
Sababu kubwa iliyonishawishi ni kwamba niliamini kwa asilimia mia moja kuwa pombe ni mwanamke mwaminifu sana kamwe hajui kusaliti mtu. Kwa upande wa madada poa nao ilikuwa hivyo hivyo. Kila kona ya mji wa Dar es Salaam ambapo hiyo huduma hutolewa wananviumbe nana isipokuwa tu huko Temeke maana huduma zao siyo nzuri yani hawana viwango.
Ndugu zangu wana MMU natamani sana niache hii tabia ila nashindwa maana naona kisaikolojia limekuwa ni tatizo kubwa sana kwangu. Kila muda nahitaji hata kama nipo kazini nikikumbuka tu lazima nikapate dawa kidogo ndiyo mwili ukae sawa. Nimekuwa addicted sana na hawa viumbe.
Marafiki zangu wakubwa wamekuwa hao wadada ikipita siku mbili sijaenda kuwapa dawa inakuwa ni kero tupu maana muda wote meseji hazikatiki wakiniuliza niko wapi mbona nimewachunia.
Pia imefikia mpaka kuniamini hata kama siko vizuri( sina pesa) huwa wananikopesha mwisho wa mwezi nawalipa/ nawarejeshea hela yao kulingana na makubaliano yetu.
Nifanyeje ili niachane na hii tabia ndugu zangu?
Karibuni kwa ushauri wenu!
hajaja kutaka ushauri kaja kuji-boast.Sasa maneno ya hivi ndo kumsaidia au kumdhiaki mtu ameshakiri mwenyewe kwa maneno yake kwamba amekua addicted na hayo mambo na hana namna ya kujinasua
Cha muhimu ni kumshauri hata kama hatoacha kabisa bas apunguze mwishowe kuacha kabisa Mara nying chronic behavior za namna hii huwa sio rahisi kuziacha kwa maramoja
Mtafute mwanasaikolojia akusaidie kuyaelewa vizuri matatizo yako na akuundie mipango endelevu ya kuacha kabisa tabia wale jamaa Mimi huwa nawatumia sana huwa wakianza kukupa ushauri unabaki na hatia ndani ya nafsi yako inayokusukuma kutokufanya jambo lile kwa Mara nyingine
Au karibu kwenye darasa linaloendelea hivi sasa humu humu jf la chakula cha ubongo la mwalimu haber Faraday Nina imani utajifunza kitu kule juu ya maisha na mifumo take
Karibu sana
Muhenga kijana
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh!mkuu kula maisha tu
maisha yenyewe mafupi mkuu
tembeza fimbo tu kamanda wangu
Ndiyo uwezo wako umefikia hapo Mkuu?Subiri ngoma mkuu utaacha
acha uzembe mshikajiDuuh!
Hata kama mafupi siyo ishu sana kuwa na maisha ya hivyo ndugu yangu.
Nilikuwa kwenye utumwa Mkuu
Ila kuanzia leo ninavyoandika hapa sitojihusisha tena na hiyo tabia.
Siyo uoga wala nini Mkuu!acha uzembe mshikaji
unaogopa nini?
Siyo uoga wala nini Mkuu!
Sema nahitaji niwe mbali na shetani Mkuu.
Mimi nimeamua kustaafu mkuu.acha maneno matupu..kwani shetani ni nani mkuu? acha kuogopa usivyovijua mkuu..hakuna kitu kama shetani
kula vitu mkuu...vimeumbwa kwa ajili yetu...pombe ni kwa ajili yetu...wanawake pia ni wetu
unataka umwachie nani mkuu?
Mimi nina dawa kama Upo tayar.Hello ladies and gentlemen,
Natumai mko poa sana humu ndani. Bila kupoteza muda ni kwamba utamu wa madada poa umesababisha sitamani tena hata kuoa wala kuwa na mpenzi katika maisha yangu yote.
Nikiwa chuoni mwaka wa tatu tulitengana na msichana ambae nilimpenda sana. Hivyo tangu hapo nikawa nakunywa pombe kwa sana na kulala na madada poa kumi kwa siku moja. Lengo langu lilikuwa ni kupooza na kutuliza nafsi yangu iliyokuwa imejawa na maumivu makali yasiyopimika.
Nilipenda sana kunywa pombe na madada poa kwa sababu niliona ndiyo suluhisho wa tatizo lililonikumba kwa wakati ule ingawa nilipewa ushauri mwingi sana lakini nilisikiliza moyo wangu unasemaje.
Hii hali ilipelekea performance yangu ya masomo ikawa mbaya sana japo nilipambana hivyo hivyo ili nisidisco katika masomo yangu.
Sababu kubwa iliyonishawishi ni kwamba niliamini kwa asilimia mia moja kuwa pombe ni mwanamke mwaminifu sana kamwe hajui kusaliti mtu. Kwa upande wa madada poa nao ilikuwa hivyo hivyo. Kila kona ya mji wa Dar es Salaam ambapo hiyo huduma hutolewa wananviumbe nana isipokuwa tu huko Temeke maana huduma zao siyo nzuri yani hawana viwango.
Ndugu zangu wana MMU natamani sana niache hii tabia ila nashindwa maana naona kisaikolojia limekuwa ni tatizo kubwa sana kwangu. Kila muda nahitaji hata kama nipo kazini nikikumbuka tu lazima nikapate dawa kidogo ndiyo mwili ukae sawa. Nimekuwa addicted sana na hawa viumbe.
Marafiki zangu wakubwa wamekuwa hao wadada ikipita siku mbili sijaenda kuwapa dawa inakuwa ni kero tupu maana muda wote meseji hazikatiki wakiniuliza niko wapi mbona nimewachunia.
Pia imefikia mpaka kuniamini hata kama siko vizuri( sina pesa) huwa wananikopesha mwisho wa mwezi nawalipa/ nawarejeshea hela yao kulingana na makubaliano yetu.
Nifanyeje ili niachane na hii tabia ndugu zangu?
Karibuni kwa ushauri wenu!
Ndiyo uwezo wako wa kuwaza umefikia hapo Mkuu?Mimi nina dawa kama Upo tayar.
Kuna jamaa yangu alikuwa kama wewe alitusumbua Sana. Sasa tulichofanya tulinunua mayai mabichi tukamvizia akiwa amelewa tukayapasua na kuyamwaga kwenye tigo yake by then alikuwa amelala mtaron kesho yake amekuja kuamka kushika nyuma kaona maji maji yanatoka hakumwambia mtu kitu cc tulishangaa tu tukiwa vibandan akija akatuambia ameamua mwenyewe kuacha pombe na machangudoa so amemrudia bwana. Ninavyoongea na wewe anamaduka mawili kkoo pale anachapa kaz mbaya na ana mke na familia na nyumba nzur tu
Be blessed in advance.Dawa ya hiyo ni 1 tu
Fanya kama ifuatavyo endapo kweli unataka ushauri na ukipewa utaufanyia kazi " Amka arfajiri fanya mazoezi kimbia fanya mazoezi ya viungo na jioni ukitoka kazini fanya kama mazoezi hiyo iwe ndo ratiba yako ya kila siku kisha leta mlejesho hapa.