Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,010
Labda uwa anafanya group sex tutajuajewe nae umeamini!?
MACHANGU KUMI KWA USIKU MMOJA?
NA POMBE AMEKUNYWA KALEWA?
HAO MACHANGU ANAWAT....MBEA CHUPA YA BIA LABDA!
Labda uwa anafanya group sex tutajuajewe nae umeamini!?
MACHANGU KUMI KWA USIKU MMOJA?
NA POMBE AMEKUNYWA KALEWA?
HAO MACHANGU ANAWAT....MBEA CHUPA YA BIA LABDA!
mwe!Kama huamini nakukaribisha uwe observer one day!
Kapime ukimwi ukiona huna njoo tukushauri for nwmaan tunaeza kukushaur kumbe ulipata vvu siku nyingi ko itakuwa hain maan coz ulichokitak umepata maan haiwezekam msomi ka ww kisa umeachan na mpenz ndio ujiingize kweny mambo ya kipumbavu kias hiko
![]()
Halafu wale ni hela yako tu unaweza kuwachukua hata watano. Ukaenda kuwafanyia kazi.Labda uwa anafanya group sex tutajuaje
Ila nakushauri achana na hiyo tabia jifunze kucontrol your feelingsHalafu wale ni hela yako tu unaweza kuwachukua hata watano. Ukaenda kuwafanyia kazi.
Haujasoma Uzi vizuri. Hiyo tabia nilianza nikiwa chuo. Sasa hivi Nina maisha yangu. Hivyo nawatafuna nitakavyo. Maana siku hizi huwa mnajiuza kwa style tofauti.mwe!
maisha haya!
huyu nae kuna mamake amekaa huko anahesabu kuwa nna watoto watano,mmoja yupo chuo kikuu!
Poa.Mambo Jovitha?
Naomba nikutembelee mara moja huko PM huenda ukanipa ushauri murua.
Nashukuru sana- Curious Gal.Ila nakushauri achana na hiyo tabia jifunze kucontrol your feelings
Vipi na ukikumbuka na upumbavu wako?Nina watoto 3 ila mama tofauti Mkuu.
Napenda sana niwe na mwanamke ambae tutajenga familia imara ila nikikumbuka upumbavu wao nakata tamaa kabisa.
Atupishie mbali kwa kweliMADADA POA HAO NI WANADAMU AU KUKU?
kumi kwa usiku mmoja,na umekunywa pombe sana!
najaribu kugawa masaa 11 ya usiku ,
saa ngapi umekunywa mpk umelewa tila lila
saa ngapi umechukua dada poa mmoja mpka wakafika kumi
HEBU TUPISHE!
Nakuja huko huko J kuna vitu vingine vitakuwa vya siri kidogo.Poa.
Ushauri gani unataka
Njoo tu haina shida.....Nashukuru sana- Curious Gal.
Naomba nije unipe ushauri zaidi my dear!
Nakumbuka Dada yako.
OkayNjoo tu haina shida.....
TUFANYE MAHESABU HAYA DOGO!Haujasoma Uzi vizuri. Hiyo tabia nilianza nikiwa chuo. Sasa hivi Nina maisha yangu. Hivyo nawatafuna nitakavyo. Maana siku hizi huwa mnajiuza kwa style tofauti.
1. Wakujiuza kimya kimya.
2. Wale wa kwenda field( kujipanga na kuuza k)
3. Wale wanatumia sana madalali- hii ipo kwenye makundi ya WhatsApp sana, badoo etc.
4. Wanaojiuza kwa kupiga virungu vya hapa na pale.
Wote hao huwa nawakula sana.
Wanawake mmekuwa cheap kama nini.hamjui kuthamini miili yenu.
Ndio dawa pekee ila chunguu sana kuna kufukuzwa, Kuonywa, Kuombewa rehema(toba) na kuapishwa usirudie tenaKama sio chai hii sijui.... Umenikumbusha kupiga madada poa kwa mkopo. Niliwahi kuisikia mahari kumbe Ni kweli.
Vijana wengi wa chuo huangukia kwa madada poa baada ya kutendwa na waenz wao.
Kuna watu mnaroho ngumu.
Nenda kwa kiongozi wako wa kiroho kisha mueleze haya yote uliyoeleza hapa.
Tuachane na hayo..snowhiteTUFANYE MAHESABU HAYA DOGO!
WEWE UNAKULA KUMI KWA SIKU,
HAO NI MMMOJA MMOJA!
BUT WEWE MMOJA UMEVUA KWA WATU KUMI
sijui nani HAPO HATHAMINI MWILI WAKE!
ila na mi nimekosa kazi!
KUKAA NAJIBU MTU WA AINA YAKO!
dah!
ALL THE BEST aseee!