Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,218
Ana mashine ya umeme hatumii nguv labda muongo huyu et![]()
Kweli itakuwa ya umeme hiyo.
Ana mashine ya umeme hatumii nguv labda muongo huyu et![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kweli itakuwa ya umeme hiyo.
Hahahaaaa!! Jozee usinifanyie hivyo, nakunywa ila deni utaandikwa wewe.Fact kunywa soda kwa mangi alafu lipa mwenyewe
2logM@km
Anyway, mpeni ushauri jamani ili angalau apunguze idadi,then mwisho ataacha kabisa.Ndio ww unaonaj

Anyway, mpeni ushauri jamani ili angalau apunguze idadi,then mwisho ataacha kabisa.
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahahaaaa!! Jozee usinifanyie hivyo, nakunywa ila deni utaandikwa wewe.
endelea kupata kinywaji nakuja ila nitalipia 84%Cost sharing uh!! Basi hata hiyo sio mbaya nitashukuru pia.![]()
![]()
![]()
endelea kupata kinywaji nakuja ila nitalipia 84%
2logM@km
Hapo tupo njia moja then inabid tushuke kituo kimojaCost sharing uh!! Basi hata hiyo sio mbaya nitashukuru pia.
Be blessed in advance. Nimependa utofauti wako siyo kama hao hapo juu wanaishia kuleta utani.
Mkuu Mungu tu ndiyo anajua hilo la kufaChukua dada poa mmoja upeleke hom maisha yaendelee. Huyo ndio atakusaidia maana atakuonea wivu usife kwa ukimwi maana siku zako zinahesabika
Ipooze kwanza usiinywe ikiwa ya moto itakuunguzanasikia harufu ya chai iliyokosa iliki lakini imekolea tangawizi
Hahahaahaa likichacha tuu ajue na yy ameshachacha hafai tenaHalichachiiiiii![]()