Sitamani tena kuoa

Sitamani tena kuoa

wewe umesema unatamani kuniona na wewe wewe unaniogopa
jamani
haya kujamiiana nimelifuta imebaki kufahamiana
karibu pm
naogopa kujamiiana,

Changazi espy
 
Njoo ninyi nyote wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha! Njoo kwa Yesu kaka
 
MADADA POA HAO NI WANADAMU AU KUKU?
kumi kwa usiku mmoja,na umekunywa pombe sana!
najaribu kugawa masaa 11 ya usiku ,
saa ngapi umekunywa mpk umelewa tila lila
saa ngapi umechukua dada poa mmoja mpka wakafika kumi

HEBU TUPISHE!
 
Nina watoto 3 ila mama tofauti Mkuu.

Napenda sana niwe na mwanamke ambae tutajenga familia imara ila nikikumbuka upumbavu wao nakata tamaa kabisa.
WE HUJAONA UPUMBAVU WAKO mpk dk hii?\
 
MADADA POA HAO NI WANADAMU AU KUKU?
kumi kwa usiku mmoja,na umekunywa pombe sana!
najaribu kugawa masaa 11 ya usiku ,
saa ngapi umekunywa mpk umelewa tila lila
saa ngapi umechukua dada poa mmoja mpka wakafika kumi

HEBU TUPISHE!
Weekend tangia saa nne asubuhi mpaka night Kali hivi lazima hiyo idadi ifike.

Kuna madalali wanakuletea mpaka ulipo. Wewe ni kuchagua umbo unalolitaka na rangi gani.
 
Kapime ukimwi ukiona huna njoo tukushauri for nwmaan tunaeza kukushaur kumbe ulipata vvu siku nyingi ko itakuwa hain maan coz ulichokitak umepata maan haiwezekam msomi ka ww kisa umeachan na mpenz ndio ujiingize kweny mambo ya kipumbavu kias hiko
 
Back
Top Bottom