sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
- Thread starter
- #21
hilo linazingatiwa sana mkuu, ma ex ni changamotoKuwa makini usije pasha kiporo, maana hakuna urafiki kati ya watu waliowahi kuwa na mahusiano ya mapenzi.
hilo linazingatiwa sana mkuu, ma ex ni changamotoKuwa makini usije pasha kiporo, maana hakuna urafiki kati ya watu waliowahi kuwa na mahusiano ya mapenzi.
Yamwanangu maana ukifikiria hata kama unapeleka moto 24hrs kuna kitu tu kitakutenganisha so bora upigane kupata pesa na ufalme wa mbinguniUshakuwa na moyo kama jiwe
wengi wakifikaga miaka 25 hivi mioyo inakuwa chuma, ndio maana chini ya hapo wengi huwa wanaumizwa sana na mpaenzi ila mapenzi katika umri huwa yakinoga unaweza hisi upo peponi.Yamwanangu maana ukifikiria hata kama unapeleka moto 24hrs kuna kitu tu kitakutenganisha so bora upigane kupata pesa na ufalme wa mbinguni
Kammiss anatengeneza mazingira warudiane mechi za kirafiki tu maana binti nae yupo humu anasomaHuu Uzi mbona nishaousomaga!
Ni Kama umeurudia Kwa kuu-paste hapa
Hebu acha kuongea utadhani unajua kitu anachofikiria mtu kichwani, huyo binti saiz kashaolewa na ana familia yake na mimi kwagu nina familia,,,,kiufupi tunaheshimiana mnoo!!Kammiss anatengeneza mazingira warudiane mechi za kirafiki tu maana binti nae yupo humu anasoma
Hebu acha kuongea utadhani unajua kitu anachofikiria mtu kichwani, huyo binti saiz kashaolewa na ana familia yake na mimi kwagu nina familia,,,,kiufupi tunaheshimiana mnoo!!
hahahahaKammiss anatengeneza mazingira warudiane mechi za kirafiki tu maana binti nae yupo humu anasoma