Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,369
- 1,336
Mwanaume asiye na pesa nipo hapa
Siku izaita vyediZumbe Atogolwe![]()
Vaa Jezi kabisa, na bango!😂Mwanaume asiye na pesa nipo hapa
Ni jambo ja kushukuuSiku izaita vyedi
Nkwei mndee, ja haho kaya?Ni jambo ja kushukuu
Vaa Jezi kabisa, na bango!
Title:SINA PESA
Maelekezo: Ninatoa huduma za True love, Care, Comfort n.k ndoa ni uhakika.
Subiria majibu




Sio wote lakini, wapo wanaume wenye pesa na wana mapenzi ya dhati + wanaheshimu wanawake wao.
Kuna wanaume wamepaukaa ila kwa kiburi na dharau hawajambo, so hizo ni tabia tu za mtu binafsi, haihusiani na hela
Kaka usicheke, huu ni ubunifu wenye hela hapa mjini!
Ngoja walalamikaji waongezekeKaka usicheke, huu ni ubunifu wenye hela hapa mjini!
Wanaume washenzi wapo na wanawake washenzi wapo pia. Hakuna tofauti humo.Sure.
Nashangaa hivi mwenye hela ye ana moyo wa jiwe?, Lol
Mawazo ya watu bwana.
Kama wanaume wanavong'ang'aniza kuwa wanawake wote wanapenda pesa....hivi kweli hakuna mwanamke mwenye moyo wa nyama?? Teh teh
Doooh...Sina utaalamu wa Mapenzi na pesa...Hilo hata Mimi bado naangaika nalo kwakweli...labda financial servicesCreditAnalyst
financial services
Hawa ni wataalamu wa masuala ya fedha ngoja watupe maoni yao kitaalamu yahusuyo fedha kwenye mahusiano pengine yatatusaidia
Karibu kwangu my wanguMimi Siwezi hukumu wanaume wote wa Aina Fulani kwa kosa la mmoja au wachache..
Naamini wanaume wazuri na Wema wapo...Tena wengi tu.
Hata nikipata mitihani nasema Alhamdulilah...naendelea kumlilia Allaha Azza wa Jallah.


Sio wote lakini, wapo wanaume wenye pesa na wana mapenzi ya dhati + wanaheshimu wanawake wao.
Kuna wanaume wamepaukaa ila kwa kiburi na dharau hawajambo, so hizo ni tabia tu za mtu binafsi, haihusiani na hela



NtanaNkwei mndee, ja haho kaya?
Doooh aiseee, Pole kwa yaliyokukuta.
Mwanaume akiwa masikini huwa anaonekana mcha Mungu, subiri zimtembelee utaona kila rangi.Kiukweli siwapendi wanaume wenye pesa awana utu kabisa wamejaa kiburi sana usaliti ,dharau Awana mapenzi ya dhati kabisa kwakuwa wanajiona wanauwezo wa kupata mwanamke yoyote wamtakaye wamekuwa wakibadilisha wanawake kama nguo unakuta mwanaume mmoja ana wanawake kama wote wamekuwa chanzo cha kueneza magonjwa. Wanajiona dunia ni yakwao kwakuwa wanaweza fanya chochote kwa kutumia pesa zao
Wanatumia mapungufu ya wanawake kupenda pesa ndo maan wanawatumia watakavyo. Wanawake pigeni kazi ukiwa na kipato chako ilo gari alilokuwa nalo utakuwa nalo nyumba sijui nn vyote vinatafutwa ukitafuta na kumtegemea mungu kwa Imani anakupa na unapata mwanaume wake mstaarabu mwenye hofu ya mungu
Heri kuwa na mwanaume masikini mwenye hofu ya mungu kuliko kuwa na mwanaume tajiri mweny hofu ya shetani anakuwa kama Bata maji Kila shimo la maji lazima atumbukize miguu alafu awaridhiki
True kabisa.....akipata pesa mwanaume ndo Tabia yake ya kweli hudhihirikaMwanaume akiwa masikini huwa anaonekana mcha Mungu, subiri zimtembelee utaona kila rangi.
Pili masikini ni muongo kwani hujifanya mpole na mnyenyekevu kumbe mazingira humfanya awe hivyo.
Bora mara mia mwenye pesa na aliyezizoea utaigundua rangi yake halisi.
NB:
Wanaume washenzi wapo na wanawake washenzi wapo pia. Hakuna tofauti humo.
😂😂😂😂😂 kama mm hiviNa wazuri, wenye kupenda na kujali kwa dhati wapo wengi tu.