Sitaki wanaume wenye pesa

Sitaki wanaume wenye pesa

Wanabadilika kulingana na mazingira akimpata mwenye pesa anaanza kumuona kero ataka mcheza karate na akimpata mcheza karate gafla njaa inamshika anaanza kummiss mwenye pesa ila yote 9 tu mwenye pesa atashinda tu UNAIJUA NJAA UNAISIKIA WW
Apana chezea njaa kwakweli.

"Au nasema uongo Ndugu zangu"
 
hatari na nusu leo nmepishana na mmoja kwenye dala dala jamaaa kamlipia nauli maana walikuwa ote ki haraka haraka inaonyesha wametoka gest,alivyomlipia nauli mwanaume alikuwa mbele mwanamke siti za nyuma alafu kamlipia nauli then kashuka bila kumuaga dada anaambiwa ushalipiwa nauli anauliza na nani,anaambiwa kishashuka dah maneno aliyokuwa anayatoa dala dala zma kicheko,nkajisemea kishaliwa mtu leo buree
 
Acha wivu wewe, niwe na pesa mingi halafu ujimilikishe peke yako... matumizi mabaya ya fedha.
 
Kiukweli siwapendi wanaume wenye pesa awana utu kabisa wamejaa kiburi sana usaliti ,dharau Awana mapenzi ya dhati kabisa kwakuwa wanajiona wanauwezo wa kupata mwanamke yoyote wamtakaye wamekuwa wakibadilisha wanawake kama nguo unakuta mwanaume mmoja ana wanawake kama wote wamekuwa chanzo cha kueneza magonjwa. Wanajiona dunia ni yakwao kwakuwa wanaweza fanya chochote kwa kutumia pesa zao

Wanatumia mapungufu ya wanawake kupenda pesa ndo maan wanawatumia watakavyo. Wanawake pigeni kazi ukiwa na kipato chako ilo gari alilokuwa nalo utakuwa nalo nyumba sijui nn vyote vinatafutwa ukitafuta na kumtegemea mungu kwa Imani anakupa na unapata mwanaume wake mstaarabu mwenye hofu ya mungu

Heri kuwa na mwanaume masikini mwenye hofu ya mungu kuliko kuwa na mwanaume tajiri mweny hofu ya shetani anakuwa kama Bata maji Kila shimo la maji lazima atumbukize miguu alafu awaridhiki

Pole Bidada. Naona umevurugwa na ukavurugika kwelikweli. Bado haujaweza kuwatambua wanaume wenye pesa na wasio na pesa. Kwa ujumla bado hauyajui maisha.

Pesa ni kama silaha, unaweza kuitumia vibaya kwa ujambazi au kujilinda.

Tatizo lako ulikurupuka ukaingia kwa wahuni wa mjini wenye pesa zao ukidhani wanapenda demu kumbe wao ni kuchovya na kusepa. Haukutafuta mume kama mume mwenye pesa au asiye na pesa.

Inaenda klabu usiku unakutana na ma-play boy linakwambia nakupenda nawe unachukulia serious ulitegemea nini?

Kama hautobadilika utaendelea kuumizwa, na ukiolewa na asiyekuwa na pesa siku mkilala njaa na kuishi chumba kimoja ndio mtakula huko kupendana kwenu. Nawaambia hata hamu ya kupandana hamtaipata. Chezea njaa wewe.

Bado haujatuelewa wanaume, endelea kujifunza vinginevyo utaendelea kuumia.
 
Moyo wa mtu ni msitu.huwezi kujua kilichomo ndani yake.Mapenzi yameiumbwa kiajabu ajabu,unayempenda wewe yeye hakupendi anampenda mtu mwingine na huyo mtu mwingine hampendi anakupenda wewe na wewe humpendi,hayo ndiyo mapenzi mkuu!
 
UnaweZa ukawa ..huna hela.lakini Tabia yako Ni kutombea porini...wanafunzi na wale wanauuza elfu tatu tatu...Mpaka elfu mbili...

Sasa tutakuweka kundi gani?
Wewe Dada Mimi Tayari nimeshakupenda,huwa nafatilia michango yako humu nimeona wewe Ni hazina ya busara.
Naomba kama huna mpenzi humu If niwe mpenzi wako tafadhari.
Maana naona watu kadhaa humu Wana wapenzi.
Namaana mapenzi ya humu JfMMU.
Nimeomba hadharani Tena kwa nguvu ili uone aibu kunikataa.
 
Kiukweli siwapendi wanaume wenye pesa awana utu kabisa wamejaa kiburi sana usaliti ,dharau Awana mapenzi ya dhati kabisa kwakuwa wanajiona wanauwezo wa kupata mwanamke yoyote wamtakaye wamekuwa wakibadilisha wanawake kama nguo unakuta mwanaume mmoja ana wanawake kama wote wamekuwa chanzo cha kueneza magonjwa. Wanajiona dunia ni yakwao kwakuwa wanaweza fanya chochote kwa kutumia pesa zao

Wanatumia mapungufu ya wanawake kupenda pesa ndo maan wanawatumia watakavyo. Wanawake pigeni kazi ukiwa na kipato chako ilo gari alilokuwa nalo utakuwa nalo nyumba sijui nn vyote vinatafutwa ukitafuta na kumtegemea mungu kwa Imani anakupa na unapata mwanaume wake mstaarabu mwenye hofu ya mungu

Heri kuwa na mwanaume masikini mwenye hofu ya mungu kuliko kuwa na mwanaume tajiri mweny hofu ya shetani anakuwa kama Bata maji Kila shimo la maji lazima atumbukize miguu alafu awaridhiki
Ila si ndio nyinyi mnataka wale wale waliotusua kimaisha!!.
Mwengine anaona ufahari kuolewa na mwenye pesa hata akiwa na umri wa babu yake.
Hasa umkute mwanamke mzuri halafu awe na chura. Alalala akimuona mwanaume ambaye hana pesa anamuona kama mtu wa ajabu tena asiye kuwa na akili ya kutafuta.
 
Back
Top Bottom