Sitaki wanaume wenye pesa

Sitaki wanaume wenye pesa

Tatizo wadada wengi huwa masikio yameziba, yanakuja kufunguka baada ya kupatwa na kuharibikiwa.

Laiti kama maelezo yako haya yangesomwa na kila msichana, basi dunia ingepona gonjwa la usaliti ktk mapenzi.
 
Mimi Siwezi hukumu wanaume wote wa Aina Fulani kwa kosa la mmoja au wachache..
Naamini wanaume wazuri na Wema wapo...Tena wengi tu.

Hata nikipata mitihani nasema Alhamdulilah...naendelea kumlilia Allaha Azza wa Jallah.
hapo umenena mashallah Allah akujalie her
 
Ukiona umeanza kuelewa nini anahitaji mwanamke basi hiyo ni dalili ya kuwa umekaribia kufa!
Wanabadilika kulingana na mazingira akimpata mwenye pesa anaanza kumuona kero ataka mcheza karate na akimpata mcheza karate gafla njaa inamshika anaanza kummiss mwenye pesa ila yote 9 tu mwenye pesa atashinda tu UNAIJUA NJAA UNAISIKIA WW
 
...Eti Jero, jaman msione Watu Wana magari..Kuna muda mtu anakosa hela.ya mafuta...sembuse ya Kuhonga.
LOOOH salale
hatari na nusu leo nmepishana na mmoja kwenye dala dala jamaaa kamlipia nauli maana walikuwa ote ki haraka haraka inaonyesha wametoka gest,alivyomlipia nauli mwanaume alikuwa mbele mwanamke siti za nyuma alafu kamlipia nauli then kashuka bila kumuaga dada anaambiwa ushalipiwa nauli anauliza na nani,anaambiwa kishashuka dah maneno aliyokuwa anayatoa dala dala zma kicheko,nkajisemea kishaliwa mtu leo buree
 
hatari na nusu leo nmepishana na mmoja kwenye dala dala jamaaa kamlipia nauli maana walikuwa ote ki haraka haraka inaonyesha wametoka gest,alivyomlipia nauli mwanaume alikuwa mbele mwanamke siti za nyuma alafu kamlipia nauli then kashuka bila kumuaga dada anaambiwa ushalipiwa nauli anauliza na nani,anaambiwa kishashuka dah maneno aliyokuwa anayatoa dala dala zma kicheko,nkajisemea kishaliwa mtu leo buree
..
 
Back
Top Bottom