2sexy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2020
- 708
- 1,595
Hebu tucheke wote, tuambie dada alikua analalamika ninihatari na nusu leo nmepishana na mmoja kwenye dala dala jamaaa kamlipia nauli maana walikuwa ote ki haraka haraka inaonyesha wametoka gest,alivyomlipia nauli mwanaume alikuwa mbele mwanamke siti za nyuma alafu kamlipia nauli then kashuka bila kumuaga dada anaambiwa ushalipiwa nauli anauliza na nani,anaambiwa kishashuka dah maneno aliyokuwa anayatoa dala dala zma kicheko,nkajisemea kishaliwa mtu leo buree


uzaighuta? Merry xmas
