Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,659
- 19,376
Naangalia tu sifa mnazomwagiwa wanawake wa Tanga, mimi niko pembeni na glasi yangu ya mvinyo natia tiki maana sifa zooote mlizopambwa nazo ni za kweli kabisaaa wala hazijaongezwa chumviHahahaaa. Niambie Ses.
Mpo vizuri kwa kila sekta hasa kwenye mapishi na 6*6 hamna mpinzani ujue Hajar