Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 266
HUKU MWANAKIJIJI, KUBENEA na wanaharakati wengine wakijitahidi kuhakikisha ufisadi unapungua, kumbe mambo tofauti kabisa.
Gazeti la Chama cha CDM kilichoapa kupambana na mafisadi linakuwa mstari wa mbele kuwatetea?
Lipo tayari kuangamiza familia ya rais lkn wakiwatetea wanaoujulikana na watz wengi. Msimamo huu unanifanya nikichukie Chadema huku viongozi wake wakikaa kimya.
Linakuwa mstari wa mbele kumchafua rais wa nchi ilimradi muhariri anafanikisha malengo yake binafsi ya kuwatetea akina EL,RA na wengine ambao tayari CDM wanaona ni hatari kwa taifa letu.
Watz wengi wanaamini vyombo vya habari, ndio maana wengi tunaamini msimamo wa CDM kuhusu ufisadi ni kiini macho tu. Sina haja ya kujiunga na CDM hii chini ya mwenyekiti Mbowe, katibu Slaa, naibu Zitto.
SITOJIUNGA NA CHADEMA NA KUINGAMIZA NCHI YANGU
Gazeti la Chama cha CDM kilichoapa kupambana na mafisadi linakuwa mstari wa mbele kuwatetea?
Lipo tayari kuangamiza familia ya rais lkn wakiwatetea wanaoujulikana na watz wengi. Msimamo huu unanifanya nikichukie Chadema huku viongozi wake wakikaa kimya.
Linakuwa mstari wa mbele kumchafua rais wa nchi ilimradi muhariri anafanikisha malengo yake binafsi ya kuwatetea akina EL,RA na wengine ambao tayari CDM wanaona ni hatari kwa taifa letu.
Watz wengi wanaamini vyombo vya habari, ndio maana wengi tunaamini msimamo wa CDM kuhusu ufisadi ni kiini macho tu. Sina haja ya kujiunga na CDM hii chini ya mwenyekiti Mbowe, katibu Slaa, naibu Zitto.
SITOJIUNGA NA CHADEMA NA KUINGAMIZA NCHI YANGU