Kama CDM inatetea watu hatari kwa nchi kama EL,AC na RA kwanini sasa chama chako cha ccm kimekumbatia watu hatari kwa nchi ambao ni wezi wa rasilimali za nchi?
Great Thinker
Kama CDM inatetea watu hatari kwa nchi kama EL,AC na RA kwanini sasa chama chako cha ccm kimekumbatia watu hatari kwa nchi ambao ni wezi wa rasilimali za nchi?
HUKU MWANAKIJIJI,KUBENEA na wanaharakati wengine wakijitahidi kuhakikisha ufisadi unapungua, kumbe mambo tofauti kabisa
gazeti la Chama cha CDM kilichoapa kumbana na mafisadi linakuwa mstari wa mbele kuwatetea? lipo tayari kuangamiza familia ya rais lkn wakiwatetea wanaoujulikana na watz wengi. msimamo huu unanifanya nikichukie Chadema huku viongozi wake wakikaa kimya
linakuwa mstari wa mbele kumchafua rais wa nchi ilimradi muhariri anafanikisha malengo yake binafsi ya kuwatetea akina EL,RA na wengine ambao tayari CDM wanaona ni hatari kwa taifa letu.
Watz wengi wanaamini vyombo vya habari, ndio maana wengi tunaamini msimamo wa CDM kuhusu ufiadi ni kiini macho tu. sina haja ya kujiuna na CDM Hii chini ya mwenyekiti mbowe, katibu slaa, naibu Zito.
SITOJIUNGA NA CHADEMA NA KUINGAMIZA NCHI YANGU
Msimamo wakoni vizuri ukamwambia mkeo au demu au wazazi wako mkiwa faragha,huku JF kila mmoja na siri zake moyoni.Unatangaza ili iweje?kuichafua Chadema?,kuwashawishi wengine?Acha hizo mtoto wa kiume kuchongachonga bila mpango sio vizuri maana hapa umeandika mipasho tu na haina maaanaHUKU MWANAKIJIJI,KUBENEA na wanaharakati wengine wakijitahidi kuhakikisha ufisadi unapungua, kumbe mambo tofauti kabisa
gazeti la Chama cha CDM kilichoapa kumbana na mafisadi linakuwa mstari wa mbele kuwatetea? lipo tayari kuangamiza familia ya rais lkn wakiwatetea wanaoujulikana na watz wengi. msimamo huu unanifanya nikichuki
Chadema huku viongozi wake wakikaa kimya
linakuwa mstari wa mbele kumchafua rais wa nchi ilimradi muhariri anafanikisha malengo yake binafsi ya kuwatetea akina EL,RA na wengine ambao tayari CDM wanaona ni hatari kwa taifa letu.
Watz wengi wanaamini vyombo vya habari, ndio maana wengi tunaamini msimamo wa CDM kuhusu ufiadi ni kiini macho tu. sina haja ya kujiuna na CDM Hii chini ya mwenyekiti mbowe, katibu slaa, naibu Zito.
SITOJIUNGA NA CHADEMA NA KUINGAMIZA NCHI YANGU
hii ni hatari ikiwa kibanda anatumia kalamu yake vibaya huku cdm ya mbowe ikikenga meno na kucheklea, sitaki kuona tz ikikkupmbwa na vita kwa sababu ya wachache
Unao ushahidi kuwa Tanzania Daima ni gazeti la Chadema?tuthibitishie tafadhaliCha kushangaza Gazeti tukufu la Chadema, Tanzania Daima linanatetea mafisadi wa CCM
huku mwanakijiji,kubenea na wanaharakati wengine wakijitahidi kuhakikisha ufisadi unapungua, kumbe mambo tofauti kabisa
gazeti la chama cha cdm kilichoapa kumbana na mafisadi linakuwa mstari wa mbele kuwatetea? Lipo tayari kuangamiza familia ya rais lkn wakiwatetea wanaoujulikana na watz wengi. Msimamo huu unanifanya nikichukie chadema huku viongozi wake wakikaa kimya
linakuwa mstari wa mbele kumchafua rais wa nchi ilimradi muhariri anafanikisha malengo yake binafsi ya kuwatetea akina el,ra na wengine ambao tayari cdm wanaona ni hatari kwa taifa letu.
Watz wengi wanaamini vyombo vya habari, ndio maana wengi tunaamini msimamo wa cdm kuhusu ufiadi ni kiini macho tu. Sina haja ya kujiuna na cdm hii chini ya mwenyekiti mbowe, katibu slaa, naibu zito.
Sitojiunga na chadema na kuingamiza nchi yangu
HUKU MWANAKIJIJI,KUBENEA na wanaharakati wengine wakijitahidi kuhakikisha ufisadi unapungua, kumbe mambo tofauti kabisa
gazeti la Chama cha CDM kilichoapa kumbana na mafisadi linakuwa mstari wa mbele kuwatetea? lipo tayari kuangamiza familia ya rais lkn wakiwatetea wanaoujulikana na watz wengi. msimamo huu unanifanya nikichukie Chadema huku viongozi wake wakikaa kimya
linakuwa mstari wa mbele kumchafua rais wa nchi ilimradi muhariri anafanikisha malengo yake binafsi ya kuwatetea akina EL,RA na wengine ambao tayari CDM wanaona ni hatari kwa taifa letu.
Watz wengi wanaamini vyombo vya habari, ndio maana wengi tunaamini msimamo wa CDM kuhusu ufiadi ni kiini macho tu. sina haja ya kujiuna na CDM Hii chini ya mwenyekiti mbowe, katibu slaa, naibu Zito.
SITOJIUNGA NA CHADEMA NA KUINGAMIZA NCHI YANGU
Mimi niko tayari kujiunga ili mradi tu Zitto Na Mbowe wanaondolewa ( jivueni gamba CDM) Mbowe uwezo umefika mwisho,Zitto hana msimamo ni hatari kwa mustakabili wa chochote anachokisimamia.
HUKU MWANAKIJIJI,KUBENEA na wanaharakati wengine wakijitahidi kuhakikisha ufisadi unapungua, kumbe mambo tofauti kabisa
gazeti la Chama cha CDM kilichoapa kumbana na mafisadi linakuwa mstari wa mbele kuwatetea? lipo tayari kuangamiza familia ya rais lkn wakiwatetea wanaoujulikana na watz wengi. msimamo huu unanifanya nikichukie Chadema huku viongozi wake wakikaa kimya
linakuwa mstari wa mbele kumchafua rais wa nchi ilimradi muhariri anafanikisha malengo yake binafsi ya kuwatetea akina EL,RA na wengine ambao tayari CDM wanaona ni hatari kwa taifa letu.
Watz wengi wanaamini vyombo vya habari, ndio maana wengi tunaamini msimamo wa CDM kuhusu ufiadi ni kiini macho tu. sina haja ya kujiuna na CDM Hii chini ya mwenyekiti mbowe, katibu slaa, naibu Zito.
SITOJIUNGA NA CHADEMA NA KUINGAMIZA NCHI YANGU
Unao ushahidi kuwa Tanzania Daima ni gazeti la Chadema?tuthibitishie tafadhali
HUKU MWANAKIJIJI,KUBENEA na wanaharakati wengine wakijitahidi kuhakikisha ufisadi unapungua, kumbe mambo tofauti kabisa
gazeti la Chama cha CDM kilichoapa kumbana na mafisadi linakuwa mstari wa mbele kuwatetea? lipo tayari kuangamiza familia ya rais lkn wakiwatetea wanaoujulikana na watz wengi. msimamo huu unanifanya nikichukie Chadema huku viongozi wake wakikaa kimya
linakuwa mstari wa mbele kumchafua rais wa nchi ilimradi muhariri anafanikisha malengo yake binafsi ya kuwatetea akina EL,RA na wengine ambao tayari CDM wanaona ni hatari kwa taifa letu.
Watz wengi wanaamini vyombo vya habari, ndio maana wengi tunaamini msimamo wa CDM kuhusu ufiadi ni kiini macho tu. sina haja ya kujiuna na CDM Hii chini ya mwenyekiti mbowe, katibu slaa, naibu Zito.
SITOJIUNGA NA CHADEMA NA KUINGAMIZA NCHI YANGU
hii ni hatari ikiwa kibanda anatumia kalamu yake vibaya huku cdm ya mbowe ikikenga meno na kucheklea, sitaki kuona tz ikikkupmbwa na vita kwa sababu ya wachache
HUKU MWANAKIJIJI,KUBENEA na wanaharakati wengine wakijitahidi kuhakikisha ufisadi unapungua, kumbe mambo tofauti kabisa
gazeti la Chama cha CDM kilichoapa kumbana na mafisadi linakuwa mstari wa mbele kuwatetea? lipo tayari kuangamiza familia ya rais lkn wakiwatetea wanaoujulikana na watz wengi. msimamo huu unanifanya nikichukie Chadema huku viongozi wake wakikaa kimya
linakuwa mstari wa mbele kumchafua rais wa nchi ilimradi muhariri anafanikisha malengo yake binafsi ya kuwatetea akina EL,RA na wengine ambao tayari CDM wanaona ni hatari kwa taifa letu.
Watz wengi wanaamini vyombo vya habari, ndio maana wengi tunaamini msimamo wa CDM kuhusu ufiadi ni kiini macho tu. sina haja ya kujiuna na CDM Hii chini ya mwenyekiti mbowe, katibu slaa, naibu Zito.
SITOJIUNGA NA CHADEMA NA KUINGAMIZA NCHI YANGU
Kama CDM inatetea watu hatari kwa nchi kama EL,AC na RA kwanini sasa chama chako cha ccm kimekumbatia watu hatari kwa nchi ambao ni wezi wa rasilimali za nchi?