Mto_Ngono
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 686
- 589
Remmy aliimba "kifo hakina huruma". Hichi kifo ni nini?
Dini na imani mbalimbali zina mambo mengi kuhusu kifo. Zingine zinasema kufa ni kupumzika tu kipindi unasubiri ufufuo, ukishakufa umemaliza kila kitu duniani na ndo milele hiyo haitakuja kutokea umefufuka, ukifa roho yaenda mbinguni!
Hivi baada ya kifo kuna maisha kweli! Nahitaji mtu aliyekufa akaendelea na maisha mengine huko asimulie hapa ili nijue ng'ambo ya kaburi kuna nini! Mawasiliano ya roho ni magumu sana kuelewa kwamba mtu akifa mwili ndo unaoza ila roho/nafsi inaendelea kuishi sasa sijui inaishi wapi..
Wakristo wanaamini kuwa wapo watu watakuwa hai kipindi cha ujio wa yesu wa mara ya pili. Waislam kwa upande wao wanasema kila nafsi itaonja umauti kwamba kila mwanadamu atakufa, sasa hapa haizingatii watoto wanavyozaliwa kila siku au hawaamini katika ujio wa pili wa mwana wa Adam.
Swali la msingi nifanyeje ili nisife kwa sababu sitaki kuona naiacha dunia ni tamu kweli kweli japo ina raha na maudhi ya kila aina.. Nahitaji immortal body. Naona kifo hakichagui wafanya mema, mabaya na hata ufanye chochote unakufa tu.. Dawa ya kutibu kifo ni nini? Ukifikiria kifo mwili unapata ubaridi na kujiuliza ng'ambo ya kaburi kuna maisha mengine!!
Sintofahamu hii!!! [emoji58] [emoji58] [emoji42] [emoji42]
Dini na imani mbalimbali zina mambo mengi kuhusu kifo. Zingine zinasema kufa ni kupumzika tu kipindi unasubiri ufufuo, ukishakufa umemaliza kila kitu duniani na ndo milele hiyo haitakuja kutokea umefufuka, ukifa roho yaenda mbinguni!
Hivi baada ya kifo kuna maisha kweli! Nahitaji mtu aliyekufa akaendelea na maisha mengine huko asimulie hapa ili nijue ng'ambo ya kaburi kuna nini! Mawasiliano ya roho ni magumu sana kuelewa kwamba mtu akifa mwili ndo unaoza ila roho/nafsi inaendelea kuishi sasa sijui inaishi wapi..
Wakristo wanaamini kuwa wapo watu watakuwa hai kipindi cha ujio wa yesu wa mara ya pili. Waislam kwa upande wao wanasema kila nafsi itaonja umauti kwamba kila mwanadamu atakufa, sasa hapa haizingatii watoto wanavyozaliwa kila siku au hawaamini katika ujio wa pili wa mwana wa Adam.
Swali la msingi nifanyeje ili nisife kwa sababu sitaki kuona naiacha dunia ni tamu kweli kweli japo ina raha na maudhi ya kila aina.. Nahitaji immortal body. Naona kifo hakichagui wafanya mema, mabaya na hata ufanye chochote unakufa tu.. Dawa ya kutibu kifo ni nini? Ukifikiria kifo mwili unapata ubaridi na kujiuliza ng'ambo ya kaburi kuna maisha mengine!!
Sintofahamu hii!!! [emoji58] [emoji58] [emoji42] [emoji42]