Sitaki dawa

Hivi nyie wote mnamuamini Mentor? Si kasema hii ni hadithi yake ya nwisho...maana yake ni hadithi. Someni mjifunze but hakuna kitu apa kijana anatuchezea akili.
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaa kumbe hadithi huyu kijana anahitaji achapwe viboko au atumbuliwe jipu naona limeanza kuoza sasa nakuwa usaha
 
bestito kuna uzi mwingine kule umewekwa na NAANTOMBE MUSHI sijui kweli huyu anacheza na akili za watu maana naona kama ni stori vile ila imenishangaza kujitungia stori kwa ugonjwa ule kazi ipo aisee yaelekea kichwa chake kimedata
kama katunga na anatuchezea akili ni sawa kuliko kutuumiza roho kwa taarifa kama hiyo.
 
Yaani nimekusoma ila it is ironic you call yourself deception! How do you expect anyone to take you seriously with such a name?
 
Tumbo Limevurugika Kama Ni Kakaangu Wa Damu Aisee..
Damn
 
Am watching......

Hhahahahaa babuuu Big Sam hahahahaaa..........

It's so sweet to be watched ....... you are my Big Sam and there is no other Bigi, do you know that Kasie love you....!!??

Muah!!
 
Nini Huko!
Uchokozi Tu Watu Tumefunga Apa.

Umwambie Shemeji Avae Soksi Hata Kama Unamuamini Maana Chovyachovya Inaponza. I Dont Wanna Lose You Too Ingawa
Mie Ulishankataliaga Kuchovya.
 
Naendelea kuwaza kama alichoandika Mentor ni stori au ni scenario ya kweli kabisa..... Ohhhh So sad.
Mwenyewe bado sitaki kuamini kama ni kweli. Naamini ni fundisho anatamani kutupa ila ametumia hiyo njia kufikisha ujumbe
 
Ahahahahahaaaaaaa holaaaaaaa😀😀😀😀😀😀.
Wewe ni age mate wangu....ujana ushatupita......mtu umehudhuria food evening shebby robby 90s ujana na wewe wapi na wapi?! Age hio vijana/watoto wa siku hizi wanatuita babu....Kumbuka MJ tulikuwa tunamuita babu wakati amerudi mara ya pili.....!
 
Wewe ni age mate wangu....ujana ushatupita......mtu umehudhuria food evening shebby robby 90s ujana na wewe wapi na wapi?!

Unaona sasa ulivyo sucker? Uliwahi kuniona huko kwenye food evenings au unaamini hook, line, and sinker kila niandikacho humu?

Hunijui sikujui, huo uhakika wa mimi kuhudhuria food evenings unautoa wapi wewe? Teh teh teh we jamaa bana...

Age hio vijana/watoto wa siku hizi wanatuita babu....Kumbuka MJ tulikuwa tunamuita babu wakati amerudi mara ya pili.....!

Age gani unayozungumzia? We ndo mama yangu kwani?

Kwanza, hivi unanijua wewe au huwa unanisoma tu humu?
 
Wewe ni age mate wangu....ujana ushatupita......mtu umehudhuria food evening shebby robby 90s ujana na wewe wapi na wapi?! Age hio vijana/watoto wa siku hizi wanatuita babu....Kumbuka MJ tulikuwa tunamuita babu wakati amerudi mara ya pili.....!
Ngoja niulize kishabiki bila kumbeba komredi Nyani Ngabu. Ujana huishia umri gani?

Kama itawezekana na hautàjali kwa upeo wako naomba age limits za.... utoto, ujana, uzee, ukongwe.
 
Wewe ni age mate wangu....ujana ushatupita......mtu umehudhuria food evening shebby robby 90s ujana na wewe wapi na wapi?! Age hio vijana/watoto wa siku hizi wanatuita babu....Kumbuka MJ tulikuwa tunamuita babu wakati amerudi mara ya pili.....!

Kama nilijiunga JF 2006 kutokana na hali ya tech ilivyokua, at least member unakua kwenye 20s na sasa nitakua 30s, hakuna ubishi. Ila kutokana na mauzoefu ya maisha na ninavyomwaga historia ya viwanja inaashiria nipo kati ya 40 na 50. Kuna vitu millenials hawavijui, hawajavishuhudia, hawana uzoefu navyo.
 
Ngoja niulize kishabiki bila kumbeba komredi Nyani Ngabu. Ujana huishia umri gani?

Kama itawezekana na hautàjali kwa upeo wako naomba age limits za.... utoto, ujana, uzee, ukongwe.

Jamaa anadai mi ni age mate wake...wakati hata simjui naye hanijui.

Teh teh teh....watu bana.

Mtu unaweza ukatunga tu mambo humu na ukawazoa wengi sana aisee.

Sasa hapa itabidi ni enlist msaada wa mzee Mtambuzi na sister waje kukata mzizi wa fitna...
 
Jamaa anadai mi ni age mate wake...wakati hata simjui naye hanijui.

Teh teh teh....watu bana.

Mtu unaweza ukatunga tu mambo humu na ukawazoa wengi sana aisee.
Ishu ni kwamba ulishasema uliwahi angalia movie Cameo sinama... yani ishu za drive inn walotokea usweke wanaohisi ilikuwa enzi za ukoloni. Kuna watu ukiwaambia pale ubalozi wa usa baby... kulikuwa na uwanja wa basketball wanahisi ilikuwa enzi ya Nyerere...

Zile timu pendwa kama Pazi wanahisi zilikuwa za kikoloni.... basi tu hamna jinsi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…