Sitaki dawa

Uje hapa AMREF nikupime mwenyewe ndo ntaamini.

BTW nlikuwa nakuona we mjanja kumbe nlikosea. kwanini uogope wadudu bhana?? Yani umawaogopa mpk unaamua ukawapime??

Ila nashukuru kwa kuifuatilia hadithi yetu
 
Sipo tayari kufundishwa ujinga na wewe mkuu.asante sana kila la kheri
 
Mbona hata wewe unapinga? Mpo wengi wenye akili za ajabu. Tupeni mbadala siyo kujifanya mnapinga huku hamtoi njia za kuokoa maisha ya watu huo tunaita ni ujinga wa mwendokasi.
 
Ni kweli... Na amin hilo Mtoto wangu atakuwa salama
 
Umetaja majina ya mabinti wawili ambao nimetembea nao majuzijuzi tu ingawa wote tumepima kwa style tofauti na tukaonekana safi.. Next time usirudie kutaja majina masafi kwenye mambo machafu.

Ila kama mchezo wenyewe ulioucheza ndo huu (Najua ni hadithi) basi huna haja ya kuhitaji dawa.. Acha waliopata kwa bahati mbaya wapewe. Yan ulicheza kama Kicheche vile. Nadhani una vinasaba vya "kicheche"
 
Kama ni kweli...wachuchu zako hapa jf wana hali gani? Utakuwa umewapa mshtuko
 
Hahahaha, Mentor, a good story as always, this time u have decided to put the fans in limbo for sure and u have succeeded. Thats what i call being an artist.
 
Mkuu kama uliisoma vizuri Verossa ilikuwa na ukweli kiasi fulani, hii naomba tu isiwe na ukweli hata chembe. Usishangae kuona wafukunyuzi wanaenda kuufukunyua uzi ule.
mbona mnaleta kitu ambacho kiilishapita mkuu usiwakumbushe wataanza kutafuta makablasha huko chemba hahaaa
 
Hata mie naomba isiwe na ukweli...
. Kumbe verrosa ilikuwa kweli basi mkuu maisha yana changamoto sana.....
ahahahaaaaa hamkumbuki maharage ya mbeya maji mara moja mkuu naweza hii fani ya utungaji inabidi nikusanye stori zake nimtengenezee kitabu kita kiki sana
 
babu corner bar hakuna utulivu.....tufanye goba bwana.......na umemsahau Jiwe.
 
dah naona naota tu hapa.......
 
dah naona naota tu hapa.......
bestito kuna uzi mwingine kule umewekwa na NAANTOMBE MUSHI sijui kweli huyu anacheza na akili za watu maana naona kama ni stori vile ila imenishangaza kujitungia stori kwa ugonjwa ule kazi ipo aisee yaelekea kichwa chake kimedata
 
aisee babu yaani mm hujaniweka katika hiyo list ya wajumbe jamani vibaya hivyo,
kukwita hapa nimekwita halafu umenisahau heee haya babu sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…